Acacia mangium (mkesia/mzanzibari) ni mti wa mbao ngumu ambao huvunwa baada ya miaka 7 hadi 10 baada ya kupanda.
Miche hii inapatikana kwenye vitalu vyetu vilivyopo kilombero morogoro kwa gharama nafuu.
Ukichukua kuanzia miche 500 hadi 9999 bei ni 400 /mche
Ukichukua miche 10000 hadi 99999 bei...
Arisefarms tz ni wauzaji wa miche bora ya miti ya mbao (mitiki). Kwa gharama nafuu.
Mitiki ni mti wa mbao ngumu ambao huvunwa baada ya miaka 15 -20 baada ya kupanda.
Gharama zetu zipo ifyatavyo.
Ukichukua kuanzia miche 500 -9999 bei ni TZS 400.
Kuanzia miche 10000 hadi 99999 bei ni TZS 350...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.