Hapana shaka mfuko wa taifa wa Bima ya afya ni hitaji la msingi la ulinzi wa afya kwa wananchi wote, katika kujenga taifa lenye siha linaloweza kupambambana na adui maradhi ili kujenga jamii iliotayari katika kujenga uchumi endelevu kuelekea uchumi wa kati kamilifu kama maelekezo ya dira ya...
Je, kama kesi ni ya jinai (kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu) mtu amehukumiwa kifungo cha nje na kutakiwa kumlipa mlalamikaji lakini hakuweza kumlipa mlalamikaji kwa muda uliopangwa na mahakama bila sababu za msingi ni kitu gani mahakama itaamua?
habari watanzania wenzangu?
Wadau kwa yoyote mwenye materials ya foundation ya OFC 014 OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA, naomba anipatie au anitumie kwenye email yangu. charztz@gmail.com
shukrani za dhati kwenu wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.