Ukifatilia sehemu yenye tuta na kuwekewa alama za uvukaji (Pundamilia) sio sehemu ambayo watu wengi wanatumia kuvuka kwenda majumbani kwao au kupanda dalaladala.
Na kama ile ndio sehemu sahihi waliochagua kuvukia kwanini kituo cha daladala kipo sehemu nyingine tofauti na wao waliotaka watu...
Yes, ni sehemu yenye wavukaji wengi sana, ila hakuna alama ya kuwalinda wavukaji. Ni neema za Mungu tu na busara za wenye vyombo vya moto ila nje na hapo tungeshuhudia ajali nyingi sana.
Habari za usiku wakubwa.
Naomba Tanroads kwa kushirikiana na NSSF waangalie namna nzuri kwa wakazi wa darajani wakati wa kuvuka barabara kwenda upande wa pili baada ya kushuka kwenye daladala.
Kama umetembelea daraja la kigamboni au ni mkazi wa darajani utakuwa unalifahamu ili swala.
Hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.