Recent content by Appolo

  1. A

    Kikwete ziarani Zanzibar: Ahadi, vijembe, na maagizo

    Kikwete atawadanganya wasiojua historia ya Zanzibar. Huko Kengeja kulikuwa na maji ya bomba, barabara ya lami na simu tokea wakati wa ukoloni. Serikali ya CCM ndio walioacha vitu hivyo kuharibika hadi kuwa havifanyi kazi. Barabara wanazodai kuzijenga zote zilikuwapo na wanachokifanya hadi leo...
Back
Top Bottom