Recent content by appolinary supplier

  1. A

    Samaki wa mapambo bei nafuu

    habari tanzania kuna samaki wa 5000 hadi wa 30000 habari nzuri hiyo
  2. A

    kumbe NELLY ushobokaji alianza zamani

    nelly nae kafulia tu kama mr nice hana kick
  3. A

    Pedeshee maarufu kumuoa mtangazaji wa kiume

    sasa ben kinyaiya mbona anataka kupewa hela nyingi hata bure angekubali tu
  4. A

    Samaki wa mapambo bei nafuu

    .......................
  5. A

    Mpigie kura Diamond kwenye tuzo za AFRIMMA

    davido yupo kama yupo diamond asiendee
  6. A

    DIAMOND Platinumz arudia kuvaa koti la Mtv Africa Wards BET.!!!

    ukiongea bila ushaidi ni utahaaira na mwanzo wa uchizi the guy jux anajua upangilia mavazi ukikataa ni kama unajaribu ku ---- your own ass
  7. A

    Adam Mchomvu, Fetty na B12 watupiana maneno mazito studio huku wakiwa hewani

    maigizo ya kitoto nina audio yake anaeitaka nicheki whats app 0712505049
  8. A

    Samaki wa mapambo bei nafuu

    ndogo kabisa inakost kumi na tano ikiwa tupu ikiwa na pampu kwa ajili ya kupush hewa na mapambo kama maua na mawe yake special ni 20elfu so una plus na kumi na tano jumla 45 samaki wapo aina zote chakula ni elfu 3000 kile kifuko cha icecream ambacho kinakaa mwezi na siku kadhaa si ukichukua...
  9. A

    Samaki wa mapambo bei nafuu

    aina nyingi tofauti
  10. A

    Nelly, Chris Brown na Kerrueche wamshobokea Diamond

    acheni kudanganya watu alikaribishwa kama wageni wengine tu karuuche alikua anawahoji watu kwenye red carpet sasa ulitaka asitabasmu kipindi cha kura za mama south africa mlikua mnasema diamond akimbiza kura za mama na porojo kibao diamond ni msanii wa kawaida sema ana michezo ya kihuni...
  11. A

    Nimekata tamaa ya kupona .

    dr ndodi anapatikana pale biafra anafanya mikutano yake ya injili zijui kamaliza au bado kwa urahisi zaidi we google maana google ina kila kitu hata ukitaka kujua nani anatembea na mke wako we google tu
  12. A

    Kiukweli Siitendei Haki Fremu Yangu..Msaada.!!

    kabla ya ushauri wa kitaalamu kwanza jibu maswali haya mtaji wako ni sh ngapi hata kama huna sema ule uwezo wako wa mwisho ni ngapi wananchi wako wana hali gani kiuchumi na kielimu kwa ujumla Idadi ya wakazi wa mtaa wako ni kawaida au wengi kiasi au crowd of people
  13. A

    Adam Mchomvu, Fetty na B12 watupiana maneno mazito studio huku wakiwa hewani

    kwa sisi tuliosomea mipango ya kuteka soko hatujastuka ila kwa mazuzu na ma bogus zamani kama mlikua mnasikiliza kipindi cha powerbreakfast ilikua kawaida kugombana ili kuteka akili za watu na naona wamefanikiwa kwa kweli mnatakiwa kujua albam inakuja so muwe attention kwa lazima kua kuna...
  14. A

    Nauza line ya tigo pesa na fax machine

    punguza kidogo kuna jamaa alikua anuza kwa mawe nne hapa hiyo tigopesa
Back
Top Bottom