Leo Jumatatu tar. 4. 9.2023 Saa 5:00 asubhhi Chama cha @ACTwazalendo kitatoa Uchambuzi, msimamo na Mapendekezo yake kuhusu sakata la #Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na @DPWorldUAE.
-----
Tangu Mwezi Juni mwaka huu kumekuwa na mijadalambalimbali kufuatia taarifa ya Azimio la Bunge...
Natoa Pole kwa Familia zilizopoteza ndugu zao, Majeruhi wanaopatiwa matibabu Hospitali ya rufaa Bukoba na Watanzania kwa Ujumla, kwa ajali ya Ndege iliyotokea Jana tarehe 6 Novemba, 2022
Matukio mawili ya majanga yaliyotokea nchini kati ya Mwezi October na Novemba, na uzembe wa Uokozi...
Kiongozi mjasiri huangalia Macho kwa Macho.
Hata awapo na adui aliyemzidi kwa ufahamu na zana za kivita huwa hapindishi macho na maneno.
Katika Picha ni Anthony ISHIKA akiongea na Mkutugenzi wa TCD Bi Bernadetha na Ishika akimuangalia Macho kwa Macho.
Nini maoni yako kwa kijana huyu kiongozi...
Ni kawaida Kusikia Viongozi wakubwa wakiwatolea Mifano Viongozi waliowalea kiuongozi.
Wapo wanaotolewa mifano mizuri na wanaotolewa mifano isiyo mizuri.
Viongozi mliopo kwenye nafasi Serikalini na kwenye taasisi mbalimbali, tuna jukumu la kuhakikisha tunalea na kulelewa wale ambao tunachipukia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.