Recent content by anthem

  1. A

    Kupotea kwa Mdude: Tuhuma za kuhusika kwa Askari katika kupotea kwa Nyagali, Uchunguzi mkali waanza, kikosi chatumwa, kutoka mtandaoni

    Ile kesi hakukutwa na hatia akaachiwa huru na mahakama,acha kudanganya watu.
  2. A

    PreGE2025 CHADEMA njooni na hoja zinazomtoa nyoka pangoni

    Siyo kweli kwamba mazuri ya viongozi wa ccm ni ni mengi kuliko mabaya yao,ni vile wamejiweka kuwa wao ni raia wa daraja la kwanza katika taifa hili.
  3. A

    Viongozi wa dini: Je, rushwa imewapofusha au ni uwezo mdogo wa kutambua mambo?

    Nawasalimu nyote hapa JF. Niende Moja kwa Moja kwenye mada tajwa hapo juu hasa inayowahusu baadhi ya viongozi wetu wa dini waliokaririwa na vyombo vya habari wakiwaonya waumini wao kuhusu ajenda inayozungumzwa katika mikutano ya CHADEMA kuhusu no reforms no election/bila mabadiliko hakuna...
Back
Top Bottom