Recent content by Anonytz

  1. Anonytz

    DOKEZO Matumizi mabaya ya ofisi na maandalizi ya upigaji pesa za miradi ya maji-Mpanda

    Tunampongeza sana Mh Waziri Mkuu kwa hatua alizochukua juu ya hili, tunaamini haki itatendeka maana tuliyoandika hapa ni machache sana, kuna watumishi wengi wameumizwa wao na familia zao sababu tu ya Mkurugenzi kutaka kupiga pesa na watu wake walio wizarani (Waliona wawatoe hao kwenye nafasi...
  2. Anonytz

    DOKEZO Matumizi mabaya ya ofisi na maandalizi ya upigaji pesa za miradi ya maji-Mpanda

    PART 2 Kwanza kabisa tunashukuru kwa serikali na vyombo vyake kulipa uzito unaoshtahili suala la Mamlaka ya Maji-Mpanda. Chanzo chetu cha siri sana kutoka wizarani kimetujulisha juu ya Mpango wa kutisha watumishi Mpango wa kuficha ukweli MPANGO WA KUTISHA WATUMISHI Kuna mambo mengi...
  3. Anonytz

    DOKEZO Matumizi mabaya ya ofisi na maandalizi ya upigaji pesa za miradi ya maji-Mpanda

    MATENGENEZO YA GARI TOYOTA HILUX VIGOR DFP 6939 Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Mpanda (Eng Hussein Salum Nyemba) aliyepewa usukani na wizara ya Maji kuiongoza taasisi hiyo muhimu kwa ajili ya ustawi wa wananchi wa Mpanda kuanzia tarehe 31-08-2022. Wiki moja baada ya kuanza majukumu yake mapya...
Back
Top Bottom