Recent content by ANNO MDEKWA

  1. ANNO MDEKWA

    JamiiForums Tanzania Tamko la walimu wa sanaa waliokua wanaosubiri ajira mpya.

    Mfumo wa elimu wa Tanzania hasa kwa ngazi ya sekondari mpaka chuo kikuu hauna mwelekeo wa kumpa mwanafunz mbinu mbadala ya kutotegemea ajira zaidi na sio kujiajili. Kwa mtu aliyesoma kozi ya ualimu Leo ukimwambia aende akajiajili ni sawa na kumpa kazi ya kuanza kujifunza kitu kipya kabisa
  2. ANNO MDEKWA

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    Asante mtoa maada nimekuelewaaa
Back
Top Bottom