Its true yahitajika sana divine intervention on this coz yaleta usumbufu na waweza hata Susa,wahusika litazameni hili kwa jicho LA 3 .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mkatoliki Nina duka Katavi wateja wanakuja kila siku kukiulizia hiki
kilichoandikwa na Emmiliana Kondowe sijui nikipate wapi kwa wingi ili niuze,mwenye uelewa tafadhali niPM
Ndugu yangu yaani mimi niliwaaambia hivyo hivyo wakasema sio utaratibu wao so naendelea subiri.Dah inauma pesa yako wamechukua huduma haupati bac tabuuuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.