Binafsi nashangaa kwanini wanalaum wangeshukur japo kwa kidg walichobahatika kupata. Wengine tumekosa kabsa na hatun matumain hata ya kwenda chuo kikuu na ni first year😔
Yeah inawezekana. Lkn pia kwa walio na nia ya kwenda diploma ni bora kipindi wana jaza sel form wawe wanaweka chuo first selection ndo njia nyepesi kuchaguliwa vyuo vya serikali ukitegemea Application hapo competition inakubana sana
Yuko confused huyu bado hajaamua moja. Kuna thread kwel alidai kaconfirm UDOM BSc in physics. Huku bado kashikiria na Kampala 😅😅🙌..!! Awe makini tu katika kumake conclusion coz Watu watashaur sana ila mwisho wa siku wa kutoa maamzi ni yeye mwenyew.
Vyuo vya pharmacy ni vichache kwa serikali ni udom na MUHAS na ushindan ni mkubwa kupata ni ngum sana. Ukipata nafasi Kampala upande wa pharmacy soma . Wako vzr na ni moja ya chuo kinachoaminika kwa course ya pharmacy degree.
😅😅😅nimelia sana
Anyway sio kila aliepita diploma ni form four failure wengine tulipata one zetu safi kabsa za o level tukaamua kwenda diploma lengo ni kutimiza ndoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.