Wakati unasema hivyo kuna wengine wanaomba wapate hata huyo wa kike mmoja.Pia hizi issue za mtoto wa kike sjui wa kiume tunazo sisi waafrika wenzetu walishavuka huko.Familia ya kifalme ya uingereza baba yake malkia Elizabeth alikuwa na watoto wa wawili wa kike na haikus shida.Muda mwingine...
Kuna jambo zuri litakuja huwa inanitokeaga mimi ni kwa namna tofauti ninapopitia shida nikianza kusali naanza kuona namba 21.Mfano unaweza ukashangaa mtu kakupigia dakika ya 21 au ukiangalia saa ni saa 21:00,mtu kachukua remote ya ac kairudisha inasoma 21,mara nyingi inapofika dakika 21...
Kuna mtu alinifanyia ubaya sehem fulani alidhamiria kuniangamiza nilimlilia Mungu kwa sala na machozi.Kusema kweli yalimkuta na hata waliokaribu yake walijua ni kwa sababu ulimfanyia flani ndio maana yalimkuta.Muda mwingine mwachie Mungu huyo mtu atakuja kujuta
Kwa nini utoe background ya uongo kuhusu maisha yako.Ni kweli ulitokea familia maskini haina haja ya kudanganya na kama huwwzi kusema ukweli kaa kimya.Mbona wapo matajiri wengi tu wanaokubali waliotokea katika maisha ya shida akina Jack Ma.Na pia kusema uamskini ni uzembe hao matajari ndio wapo...
Unaniongelea mimi nahisi asilimia 80 ya ulivyoviongelea vimenipata wakati huu ambapo nimeamua kumtegemea Mungu entirely naona ishara ya jambo jema/zuri kuja kwangu but sijui litatokea wapi I keep trusting him
Wakati wanapalilia ya lissu wakumbuke kesi yao inawasubiri unachomfanyia mwenzako ndicho utakachofanyiwa na wewe.Walijaribu kumuua TL ila wao ndio waliotangulia,wanahangaika kumfungulia kesi na wengine nao wanashughulikia kesi yao
She is not okay.Mungu amsaidie anapaswa aombe msamaha kwa watu waliopoteza ndugu zao oktoba 29,aachie watu waliotekwa,amuachie Tundu Lissu,afanye marekebesho ya katiba na atafute suluhu na wapinzani.Huu muda uliopo ni Mungu ammempa wa marekebisho asiporekebisha kitamkuta kitu kibaya.Kwa kawaida...
Hii hali ipo jamani nimeexperince kwa watu kama wanna recently hadi nikajiuliza is it possible yaani out of nowhere jina la huyo mtu linakujia akilini na baada ya muda mfupi unamuona.Leo kuna mtu alinijia akilini asubuhi kabla sijaja kazini hatujazoeana kazi zake za field tangu mwaka umeanza...
Nilikuwa najiuliza kama kuna mtu Amani pitia hii halii luckily nimekuta huu uzi.Recently nimekuwa nikipitia hii hali kwa watu ambao sina mazoea nao.Jina la huyo mtu linakuja kwenye akili yang out of nowhere unashangaa unakutana nae au anakupigia simu within the same day.Hawa ni watu ambao sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.