Recent content by annatee

  1. A

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi wa darasa la saba afariki kwa shoti ya umeme akichezea Brenda ya Juice

    Umeme unapiga vibaya nikiwa mdogo niliingiza chuma kwenye soketi nilihisi kuna nguvu imenipiga kuanzia juu hadi chini bahati nzuri niliachia ile chuma
  2. A

    JamiiForums Tanzania Pakistan: Mchoma matofali mkristo achinjwa baada ya kunywa maji katika chombo wanachotumia wafanyakazi wenzake waislam

    Wote mmetoka kwa Mungu mmoja why umuee mtu aliyeumbwa na Mungu aliyekuumba wewe?Mimi ni mkristo but siwezi kutetea mkristo anayeua mtu kwa sababu ni muislamu
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikufanya uamini Mungu yupo au hayupo?

    Mungu ameniokoa katika nyakati ngumu Mungu pia aliweza kunionyesha mimi na baadhi ya watu wa karibu mambo mbalimbali katika maono.Kubali kataa Mungu yupo na uchawi upo
  4. A

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu Hassan Hili la Humphrey Polepole Halitapita hivihivi

    Polepole Mungu amsaidie ila dunia duara kipindi wanapotea akina Ben saanane chini ya his former boss ambae nae ni marehemu hakuwahi kuwaongelea baada ya Magu kufa ndio anakumbuka uzalendo.Utawala wa Magu ulikuwa utawala wa kidikteta sema watanzania wakafumbia macho sababu alidili na mafisadi...
  5. A

    JamiiForums Tanzania TRA: Tunahitaji ajira zenye Uwazi kama Utumishi sio figisufigisu!

    Alf pia kama taasisi inajua haina uhitaji na idadi hiyo ya watu sidhani kama ni jambo zuri uweke watu wengi database usiwachukue bora uweke wachache au usiweke kabisa
  6. A

    JamiiForums Tanzania TRA: Tunahitaji ajira zenye Uwazi kama Utumishi sio figisufigisu!

    Nasikia ha ni two years kitu kama hicho
  7. A

    JamiiForums Tanzania TRA: Tunahitaji ajira zenye Uwazi kama Utumishi sio figisufigisu!

    Kwa upande wa niseme ukweli sina ninayemjua wala sikuwa na mtihani ule wa written.Ila wakati natoka nilikuwa ninajua maswali niliyopata na niliyokosa na nilikuwa najua maksi zangu zitakuwa ngapi na kweli ziliangukia palepale kama nilivyocalculate
  8. A

    JamiiForums Tanzania TRA: Tunahitaji ajira zenye Uwazi kama Utumishi sio figisufigisu!

    Mmmh this is kind of negativity energy.Utaitwa kama Mungu kakuandikia you will be called
  9. A

    JamiiForums Tanzania TRA: Tunahitaji ajira zenye Uwazi kama Utumishi sio figisufigisu!

    Sawa let’s see what will happen
  10. A

    JamiiForums Tanzania TRA: Tunahitaji ajira zenye Uwazi kama Utumishi sio figisufigisu!

    Inawezekana,hiyo mwakani wakifanya tena interview wataacha tena watu elf tatu kwenye database?
  11. A

    JamiiForums Tanzania TRA: Tunahitaji ajira zenye Uwazi kama Utumishi sio figisufigisu!

    Ni assumptions zangu lakini kuna anayejua kuhusu hili humu?
  12. A

    JamiiForums Tanzania TRA: Tunahitaji ajira zenye Uwazi kama Utumishi sio figisufigisu!

    Maana kwenye website yao naona bado tangalizo lipo
  13. A

    JamiiForums Tanzania TRA: Tunahitaji ajira zenye Uwazi kama Utumishi sio figisufigisu!

    Watu wameitwa but nahisi ni endelevu watu wakipungua watakuwa wanachukua wengine huko
  14. A

    JamiiForums Tanzania Kuna mkatoliki amewahi kujiuliza kwanini mapadre wanawafungisha ndoa ila wao mapadiri hawafungi ndoa?

    Mitume wa Yesu walikuwa hawajaoa na waliifanya kazi ya Mungu.Sex sio hitaji muhimu kwamba mtu akilikosa atakufa ondoa hiyo mantiki wapo wanaoweza kuishi bila kushiriki hadi mwisho wa maisha yao ukiachilia mapadir je Monks wa Budha wanaishije?
  15. A

    JamiiForums Tanzania Ni hatari sana kufanya urafiki na mtu anaependa pesa kupitiliza, kuna siku atakugeuka hutoamini

    Huwa nasema muamini na mtegee Mungu pekee itakusaidia sana wengi unaowaita ndugu au rafiki ukifa hio familia yako hawatakuwa na mda nayo.
Back
Top Bottom