Recent content by annatee

  1. A

    Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Wakati unasema hivyo kuna wengine wanaomba wapate hata huyo wa kike mmoja.Pia hizi issue za mtoto wa kike sjui wa kiume tunazo sisi waafrika wenzetu walishavuka huko.Familia ya kifalme ya uingereza baba yake malkia Elizabeth alikuwa na watoto wa wawili wa kike na haikus shida.Muda mwingine...
  2. A

    Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili

    Kuna jambo zuri litakuja huwa inanitokeaga mimi ni kwa namna tofauti ninapopitia shida nikianza kusali naanza kuona namba 21.Mfano unaweza ukashangaa mtu kakupigia dakika ya 21 au ukiangalia saa ni saa 21:00,mtu kachukua remote ya ac kairudisha inasoma 21,mara nyingi inapofika dakika 21...
  3. A

    Kifo cha Gazeti la Mwananchi kilitarajiwa baada lakini siyo ghafla kiasi hiki

    Gazeti la mwananchi ukurasa wa kwanza ni habari za mapenzi duuu
  4. A

    Hakuna haki yeyote duniani utapata kwa kujifanya mnyonge

    Kuna mtu alinifanyia ubaya sehem fulani alidhamiria kuniangamiza nilimlilia Mungu kwa sala na machozi.Kusema kweli yalimkuta na hata waliokaribu yake walijua ni kwa sababu ulimfanyia flani ndio maana yalimkuta.Muda mwingine mwachie Mungu huyo mtu atakuja kujuta
  5. A

    Radi ya leo saa nane usiku

    Nilishindwa hadi kulala nilitamani nitoke nje siwezi natamani hata kungekuwa na handaki niingie chini.Radi ya jana sio mchezo
  6. A

    Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

    Amefanya vyema Mungu ambariki
  7. A

    Kujisifia umaskini ni kutangaza uzembe wa wazazi wako. Sio sifa njema hata kidogo

    Kwa nini utoe background ya uongo kuhusu maisha yako.Ni kweli ulitokea familia maskini haina haja ya kudanganya na kama huwwzi kusema ukweli kaa kimya.Mbona wapo matajiri wengi tu wanaokubali waliotokea katika maisha ya shida akina Jack Ma.Na pia kusema uamskini ni uzembe hao matajari ndio wapo...
  8. A

    Ukiona unapitia dalili hizi katika maisha, jua kuwa Mungu anakupeleka next level ya maisha yako

    Unaniongelea mimi nahisi asilimia 80 ya ulivyoviongelea vimenipata wakati huu ambapo nimeamua kumtegemea Mungu entirely naona ishara ya jambo jema/zuri kuja kwangu but sijui litatokea wapi I keep trusting him
  9. A

    Hizi ni ajali tatu zilizoniachia kumbukumbu mbaya zenye simanzi kwenye akili yangu

    1.Kifo cha Magufuli….ingawa sikuwa mfuasi wake but nilipatwa na Simanzi 2.Oktoba 29 2025…..
  10. A

    Tundu Lissu: Nakwenda kuwashughulikia huko huko Mahakama ya Rufaa

    Wakati wanapalilia ya lissu wakumbuke kesi yao inawasubiri unachomfanyia mwenzako ndicho utakachofanyiwa na wewe.Walijaribu kumuua TL ila wao ndio waliotangulia,wanahangaika kumfungulia kesi na wengine nao wanashughulikia kesi yao
  11. A

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    She is not okay.Mungu amsaidie anapaswa aombe msamaha kwa watu waliopoteza ndugu zao oktoba 29,aachie watu waliotekwa,amuachie Tundu Lissu,afanye marekebesho ya katiba na atafute suluhu na wapinzani.Huu muda uliopo ni Mungu ammempa wa marekebisho asiporekebisha kitamkuta kitu kibaya.Kwa kawaida...
  12. A

    Shahidi wa Kesi ya Lissu (P7): Nauli ya kuja mahakamani leo nimepewa na mwanamke wangu. Ndiye ananiweka mjini

    Hii dunia jamani unapokea hela unajificha kwenye hilo boxi unasema uongo.Jamani jamani ebu watu tumuogope Mungu hata kama ni njaa ila sio kihivyo
  13. A

    Hii ni nini, kumuwaza mtu na baadaye akakutafuta?

    Hii hali ipo jamani nimeexperince kwa watu kama wanna recently hadi nikajiuliza is it possible yaani out of nowhere jina la huyo mtu linakujia akilini na baada ya muda mfupi unamuona.Leo kuna mtu alinijia akilini asubuhi kabla sijaja kazini hatujazoeana kazi zake za field tangu mwaka umeanza...
  14. A

    Unamuwaza mtu kisha anatokea, hali hii kitaalamu husababishwa na nini?

    Nilikuwa najiuliza kama kuna mtu Amani pitia hii halii luckily nimekuta huu uzi.Recently nimekuwa nikipitia hii hali kwa watu ambao sina mazoea nao.Jina la huyo mtu linakuja kwenye akili yang out of nowhere unashangaa unakutana nae au anakupigia simu within the same day.Hawa ni watu ambao sio...
Back
Top Bottom