Wote mmetoka kwa Mungu mmoja why umuee mtu aliyeumbwa na Mungu aliyekuumba wewe?Mimi ni mkristo but siwezi kutetea mkristo anayeua mtu kwa sababu ni muislamu
Mungu ameniokoa katika nyakati ngumu Mungu pia aliweza kunionyesha mimi na baadhi ya watu wa karibu mambo mbalimbali katika maono.Kubali kataa Mungu yupo na uchawi upo
Polepole Mungu amsaidie ila dunia duara kipindi wanapotea akina Ben saanane chini ya his former boss ambae nae ni marehemu hakuwahi kuwaongelea baada ya Magu kufa ndio anakumbuka uzalendo.Utawala wa Magu ulikuwa utawala wa kidikteta sema watanzania wakafumbia macho sababu alidili na mafisadi...
Alf pia kama taasisi inajua haina uhitaji na idadi hiyo ya watu sidhani kama ni jambo zuri uweke watu wengi database usiwachukue bora uweke wachache au usiweke kabisa
Kwa upande wa niseme ukweli sina ninayemjua wala sikuwa na mtihani ule wa written.Ila wakati natoka nilikuwa ninajua maswali niliyopata na niliyokosa na nilikuwa najua maksi zangu zitakuwa ngapi na kweli ziliangukia palepale kama nilivyocalculate
Mitume wa Yesu walikuwa hawajaoa na waliifanya kazi ya Mungu.Sex sio hitaji muhimu kwamba mtu akilikosa atakufa ondoa hiyo mantiki wapo wanaoweza kuishi bila kushiriki hadi mwisho wa maisha yao ukiachilia mapadir je Monks wa Budha wanaishije?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.