kama baba na mwenye watoto wa kiume na wa kike hujitahidi kuwalea sawa lakini ukaribu wa mtoto wa kike hujapale ambapo binti huonyesha upendo na unyenyekevu hata pale anapokosa hukiri mapema zaidi ya mwanaume na ndicho hujenga mapenzi na uaminifu kwa haraka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.