Nina samsung Anycall ya korea. Inaonekana program zake bado ni za korea kiasi kwamba baadhi ya part za menu bado zinatoka kwa kikorea. Kibaya zaidi ni kwamba hizi operation zetu za kibongo kama M-PESA na zingine ambazo unaanza na nyota na kumalizia na reli kwenye simu hii ni ishu, kwani hainipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.