Tuliza ma.pumbu hayo...
Anaongelewa mume wa Rais unaleta mambo ya lisu, wewe zinakutosha??
Inaelekea lisu anakunyima usingizi unabaki kuweweseka kila mahali humu lazima umtaje... na bado! Msonyoooo
Kwa hio na sisi tufate same route hata kama sio necessary?...mwambie mamako astep down, kwani lazima yeye aongoze?, kuna watu wengi tu wenye good leadership skills...Mapinduzi Mapinduzi gani??!
Heheee kwani ukimuona chizi anakimbia uko nje utajiuliza huyu ni chizi? Ngoja nithibitishe kuwa huyu ni chizi?!..Kuna pressing issues kama utekaji nchini unaenda kuita press kukaa na kina Gigy! Kama hii sio attention seeking behaviour (ambayo ni moja ya uchizi) then itakuwa ni nini? Kwa taarifa...
Kwa nini sasa wanaotekwa ni wakosoaji wa serikali yako akina mdude nyangali,polepole etc..? Kama una afya ya akili utakuwa ume observe hii pattern kuwa wanaotekwa.ni wale brave people waliokuja wazi kukosoa serikali ya ccm. Nani ameteka ni kujitoa ufahamu..
.Kuwa ccm haimaanishi uwe...
Hahaaa wewe Kavulata jina lako halisi???... Moderator huyu mjinga hajarespect privacy ya mtoa mada apewe ban.....kutafuta real ID zinazowakosoa ni afya ya akili hitilafu...go and see psychiatrist..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.