Kwa nini unasema hivyo mkuu..mbona TAKUKURU na CAG vyote ni vyombo vya serikali ya CCM, unadhani kungekua na watu wa vyama vingine kwenye hizo taasis..usingeona difference/ tija??,
Sijui nimekuelewa? Sio kureport nje ya nchi mkuu...ndani Tanzania, chombo kinaendeshwa na watanzania, sema ni wa vyama tofauti...au ushirikiano kutakua hakuna? Chaos
Kuwe na independent body itakayosimamia malalamiko ya kiuwajibikaji ya serikali pamoja na upinzani.....?!
Kama ICC/ UN vile ambapo member state/ parties wanaweza kupeleka malalamiko yao yakachunguzwa, decision ikawa made, na penalty /hukumu kutolewa.....??
Kiwe na representatives wa all...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.