Recent content by Anita Makirita

  1. A

    Msaada ndugu zangu, ndoa yangu inaenda kudidimia

    Kamwambie mamako kama kawaida yako
  2. A

    Msaada ndugu zangu, ndoa yangu inaenda kudidimia

    Mnamshangaa huyo??? Kuna huyu Robert Heriel Mtibeli
  3. A

    Profile la kijana mkataa ndoa

    Moderator naomba muifunge hii topic...
  4. A

    Wakuu hivi haiwezekani....?

    Kwa nini unasema hivyo mkuu..mbona TAKUKURU na CAG vyote ni vyombo vya serikali ya CCM, unadhani kungekua na watu wa vyama vingine kwenye hizo taasis..usingeona difference/ tija??,
  5. A

    Wakuu hivi haiwezekani....?

    Ni mfano tu mkuu...jinsi UN inavyokuwa na muunganiko wa nchi tofauti, na jinsi nchi yoyote iliyojiunga inavyoweza kureport jambo....
  6. A

    Wakuu hivi haiwezekani....?

    Sijui nimekuelewa? Sio kureport nje ya nchi mkuu...ndani Tanzania, chombo kinaendeshwa na watanzania, sema ni wa vyama tofauti...au ushirikiano kutakua hakuna? Chaos
  7. A

    Wakuu hivi haiwezekani....?

    Tunaweza kikiunda chombo chenye watu wa vyama vyote...kitakuwa huru au unaonaje?
  8. A

    Wakuu hivi haiwezekani....?

    Kwa kuwa na representatives wa vyama vyote, au..
  9. A

    Profile la kijana mkataa ndoa

    Mkuu usiirudishe hii mada juu please sina energy
  10. A

    Wakuu hivi haiwezekani....?

    Hahaaa umenikumbusha mbali Anitaaaa, Anitaaa wanguuuu ile Lee lee
  11. A

    Wakuu hivi haiwezekani....?

    Kuwe na independent body itakayosimamia malalamiko ya kiuwajibikaji ya serikali pamoja na upinzani.....?! Kama ICC/ UN vile ambapo member state/ parties wanaweza kupeleka malalamiko yao yakachunguzwa, decision ikawa made, na penalty /hukumu kutolewa.....?? Kiwe na representatives wa all...
Back
Top Bottom