Ndugu wana jamvi
Kuna hiki kinachoendelea ndani ya bongo politics
Tuliyashuhudia ya EL sasa ni zamu ya MB.
Swali la msingi la kujiuliza je kuondoka kwao ccm ni kunafanana kwa maana membe ameondoka km lowasa na atarud km lowasa au kuna tofauti kati yao?????
Ndugu wana jamvi,
Kuna hiki kinachoendelea ndani ya bongo politics. Tuliyashuhudia ya EL sasa ni zamu ya MB.
Swali la msingi la kujiuliza je kuondoka kwao ccm ni kunafanana kwa maana membe ameondoka km lowasa na atarud km lowasa au kuna tofauti kati yao?
Kuna watu vichwa maji kweli kweli
Yan we huelew km hayo maneno ZITTO alikua anaongea sio kuandika then mwandishi kaandika kile alichoongea Zito kwa hyo ulitaka aache baadhi ya maneno?
Au ttzo liko wap mtu akifanya code mix vile akiongea?
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Habarini za majukumu wana board,
Leo tukiwa aidha tunasherekea krismas au tukishuhudia wenzetu wakisherekea krismas, Bado undugu, upendo, umoja, na mshikamano wetu uko pale pale katika kuhakikisha tu kama ndugu tunayafikia malendo yetu.
Poleni kwa uchovu na usumbufu wa hapa na pale mimi kama...
Na bora hata vilivyokufa
Viwanda vyenyewe vilikua regional imbalance angalia hapo hakuna kiwanda lindi, mtwara, wala songea inshort ukanda tu ndo ulitawala hapo
Kusini ilitengwa snaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo letu hatutaki kuukubari ukweli hata km ukweli ni mchungu utabaki kuwa ukweli tu. Yani kuuchukia au kuukubali ukweli hakubatilishi uhalisia wa jambo hilo
Cku zote ukweli utabaki kuwa ukweli tu
Angalia hapo NONDO kajaribu kusema kile anachohis yeye ni ukweli na katoa na evidence kutoka...
Hahaaaaaaaaaa
Mtoa mada unataka kumkosoa membe ila unakosa mashiko
Ni kwel membe ana mapungufu yake ila ni kipi kikubwa kibaya alichowafanyia wapinzani enzi za utawala wa mkwele?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.