Recent content by ANENE ILAPA

  1. A

    UKAWA na Operation "Hakuna tume huru hakuna uchaguzi".

    Ninapita kwa mwendo wa kinyonga.
  2. A

    UKAWA na Operation "Hakuna tume huru hakuna uchaguzi".

    Jicho likiingia mchanga ni wajibu Nzuri kuutoa huo mchanga kwa njia yoyote iwayo salama.vinginevyo mmmmmm
  3. A

    Tundu Lissu akitembea mtaani ikiwa ni sehemu ya mazoezi

    Kwa maana hii ni viguma kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano hivyohivyo nidhanivyo Mimi kwa tundu lisu kuhamia ccm,Huu ni mtazamo wangu tu.
  4. A

    Tundu Lissu akitembea mtaani ikiwa ni sehemu ya mazoezi

    Sidhani Kama a awe za kufikiria kitu Kama hicho.
  5. A

    Tetesi: Nape na Membe wahusishwa kuhujumu nguvu ya Magufuli ndani ya CCM

    Wamakua,wayao,wamakonde,wamwera,,wangoni,wahehe na wamatumbi kwa asili ni makabila yenye watu jasiri wasiopenda kuburuzwa.
  6. A

    Tetesi: Nape na Membe wahusishwa kuhujumu nguvu ya Magufuli ndani ya CCM

    Wait wengine hupenda kujilazimisha kuota naoto za kufikirika na kizihalalisha kuwa intejinsia Yale imemweza hivyo Kimbe ni ndoto za kifikirika zinazoambatana na Jodi na kujipendekeza.hatari sana kuishi kwa kujipendekeza na uongouongo.
  7. A

    Serikali yafafanua suala la mikopo kwa wanafunzi waliosoma shule binafsi

    Mnapoteza muda tu wameshaamua hata mkilalama ni kazi bure,jipangine kwa kile mnachokiweza.
  8. A

    Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi "Sugu" na Emmanuel Masonga waachiwa huru baada ya kutumikia kifungo

    Unafiki mtupu.mtoa mada tafadhali ujitambue kabla hujaleta uozo wako.
  9. A

    Marx (1818 + 200=2018) China na somo kwa Watanzania

    Realization of what is good for our country needs consultations from our individual specialists all these jiwe must understand.
  10. A

    Pata bidhaa mbalimbali hapa

    Ni elimu mzr hainabudi kutawanywa kwa umma ili watu wachukue hatua.tatizo la watanzania hawapendi wengi wao kusoma iwe jarida,kipeperushi gazeti hata vitabu.nijuavyo Mimi ni kwamba maarifa mengi yako katika kusoma au maandishi.
  11. A

    Mh.Rais aache ubaguzi wa kielimu. Mbona yeye alisoma kwa "Mature Entry Qualifications" na akapata mkopo Chuo Kikuu?

    Tujifunze nchi zone zinazotuzunguka je mambo ya nchi zao zinaendeshwaje.sisi ni vioja mwanzo mwisho.
  12. A

    Mh.Rais aache ubaguzi wa kielimu. Mbona yeye alisoma kwa "Mature Entry Qualifications" na akapata mkopo Chuo Kikuu?

    Nchi yetu ni nzr sana,kwa Sababu ni nchi ya kulalamika kila jambo lkn hakuna action negative inayochukuliwa kupinga mambo yahovyo yanayotendwa na wenye mamlaka wakati dhahiri wanafahamu mamlaka Yao yanatokana na hao wanaowabagua kila uchao na uchwao.inasikitisha sana.nafurahi kuzaliwa nchi hii...
  13. A

    Songwe: RC awaomba waliohamishia biashara zao Zambia kwa kushindwa kulipa kodi warejee nchini wazungumze...

    Faida ya usumbufu na visasi ni kukosa kabisa hata kile kidogo ulichostahili kukipata.ulimbukeni na umimi jumlishasha usifa unasababisha haya yote.TRA inatakiwa kutoa elimu ya mlipa kodi sio kukomoa watu.
  14. A

    Masasi: Wanafunzi wa kike watano kufanya mitihani yao ya kidato cha 6 wakitokea nyumba ya kulala wageni

    Wakati mwingine bodi za shule zisipokee maneno ya upande mmoja na kuyapa uzito zaidi badala ya kuyachuja na ubinadamu kutamalaki,wafikirie kama watoto hao wangalikuwa watoto wao je adhabu hiyo yakipuuzi wangawapi.ni unyanyasaji na wanawajengea chuki kubwa sana mioyoni mwao.gharama...
Back
Top Bottom