Ilikuwa Toyota kulger ya mwaka 2006 yenye 45000km Asa baada ya Inspection wakasema inashida so kuna Kulger nyingne ila ni ya mwaka 2004 ina lowmileage Asa ndo hapo waliponiagizia ya ajabu coz ina mileage 183000 na usukani umelika sana baada ya kupata chasisi namba na kuisearch
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.