Recent content by Andrea Chacha

  1. A

    Harrier vs forester subaru

    Mkuu naomba namba ya huyo fundi wa Subaru tafadhali
  2. A

    Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

    Nashkuru mkuu kwa ushauri....khsante sana
  3. A

    Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

    Ilichkua mda gani kurudisha hata hiyo 17.5M?
  4. A

    Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

    😁😁😁🙌🙌🙌...Safi sana
  5. A

    Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

    Ilikuwa Toyota kulger ya mwaka 2006 yenye 45000km Asa baada ya Inspection wakasema inashida so kuna Kulger nyingne ila ni ya mwaka 2004 ina lowmileage Asa ndo hapo waliponiagizia ya ajabu coz ina mileage 183000 na usukani umelika sana baada ya kupata chasisi namba na kuisearch
  6. A

    Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

    Kabsa mkuu..Kila wakipost biashara yao naenda kuwaumbua kwny page yao
  7. A

    Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

    😅😅😅...Kaka 14Milion ni nyingi mno na hapo bado nyingne ya kumalizia gari ikifika
  8. A

    Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

    Angalia hii niliyopost na ina mileage mbili tofauti
  9. A

    Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

    Nmeona document kama hii na mileage imedanganywa
  10. A

    Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

    Ndo hao hao fahari motors?.....mm ctomaliza pesa kwa gari ambayo cjaipenda so tutasumbuana sana tuu na wala cna haraka na gari
  11. A

    Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

    Nmetoa 14.2M bado 14.2M gari ikifika
Back
Top Bottom