Yaani hao watu wameandaliwa wiki nzima tumeona baada ya lowassa kuondoka hapo wasanii wakakimbilia hapo na kujidai wanatoa misaada mashuleni na hospitalini walikua wap cku zote? Wakina masanja wamezenguka hiyo chato kwa nguvu zote wakitafuta watu wa kuwajaza hapo, ukichunguza utagundua kua...
Nimegundua ccm wengi mmeridhika na unyonyaji wa serikali yenu, kila kitu kwenu hakiwezekani nini kinawezekana? Kenya inawezekana ila Tanzania haiwezekani embu badilikeni nyie
Hapa ndio unapoona umuhimu wa kua na katiba pendekezwa na wananchi, maana viongozi tunawaweka sisi madarakani ili mtutumikie sio kutusaidia, huduma za kijamii ni haki yangu sio hisani
Jana nilikua nasubiri matumizi ya lile lundo la makaratasi aliyokua ameyabeba nikijua ataweka wazi huo ushaidi ili tuuone nikashangaa kapiga kelele tu tulizozizoea na kuondoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.