Recent content by Ancenty stanslause

  1. A

    JamiiForums Tanzania Je, ni vielelezo gani waweza kuvitumia kuthibitisha kuwa Mungu yupo! maana shuleni tunafundishwa tofauti

    jipatieamanimoyoni.blogspot.com UHALISIA WA UWEPO WA MUNGU JE MUNGU YUPO KWELI? Watu wengi wamehoji maswali Mengi ikiwa Mungu yupo au la, na baadhi wamefikia hatua ya kusema kuwa hakuna Mungu! Swali linakuja ikiwa Mungu yupo wawezaje kuthibitisha Imani yako? UTHIBITISHO WA UWEPO WA...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Je, ni vielelezo gani waweza kuvitumia kuthibitisha kuwa Mungu yupo! maana shuleni tunafundishwa tofauti

    Shuleni waalimu wanafundisha kuwa uwepo wa dunia ni matokeo ya kuibuka, na sisi tulitokana na sokwe!.... Je, wewe unafahamu nini kuhusu chanzo Cha dunia hii na sisi Binadamu?
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kama mbinguni Kuna utakatifu na hakuna dhambi Ibilisi(Shetani) alidanganywa na nani Hadi akaasi?

    1. Moja Mungu alijua kuwa shetani ataleta madhara duniani ndo maana akamwambia adam awe makini kuna adui atakuja,,,,, 2. Pili Mungu alijua adam na hawa wataasi ndo maana akaandaa mpango wa ukombozi kabla ya kuumba dunia.... 3. Baada ya dhambi kuingia Mungu alikuwa ana dili na njia ya kuondoa...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Kama mbinguni Kuna utakatifu na hakuna dhambi Ibilisi(Shetani) alidanganywa na nani Hadi akaasi?

    Akili ya Mungu haina kikomo, na akili ya binadamu inakikomo kuelewa mambo yanayomhusu Mungu, inahitaji kumwendea Mungu mwenyewe...kwa unyenyekevu na kicho kuelewa mambo ya kibinadamu mwenye kikomo inahitaji kumwendea binadamu,,,,,,,kamwe usichanganye file kaka.... Mambo ya Mungu usiende kutafuta...
  5. A

    JamiiForums Tanzania M-wekeza kutoka Vodacom Riba 13%

    Sawaaa.... ahsante kwa taarifa
Back
Top Bottom