Nimepata tetesi kua wakati wa bunge la jioni kutakua na sehemu ambapo TBC watakata feed pale watakapo ona wanashindwa kwa hoja na kusingizia "tatizo la kiufundi".
Ni kwa niaba ya Watanzania wote makini wanaofwatilia mstakabali wa nchi yetu, niwaombe nyie kama Startv muonyesho jioni hii, bunge...
Nimepata tetesi kua wakati wa bunge la jioni kutakua na sehemu ambapo TBC watakata feed pale watakapo ona wanashindwa kwa hoja na kusingizia "tatizo la kiufundi".
Ni kwa niaba ya Watanzania wote makini wanaofwatilia mstakabali wa nchi yetu, niwaombe nyie kama Startv muonyesho jioni hii, bunge...
Yes, two wrongs don't make a right. But in this case they do. When you are concerned with bringing a better life for the masses you need an even playing field to stand a chance at winning and taking control of governing.
To be specific, if your enemy comes at you with
a gun you need a...
Umenena mkuu. Mbowe alivyokua anasema zitto anatengeneza chama ndani ya chama alifikiri anataka kupindua chama. Kumbe jamaa alikua anaunda ACT. ila badala ya kuweka act kwenye muhtasari akaweka chadema. jaaa mshenzi kweli. Yaani unaunda chama ndani ya chama halafu unaenda kua ayatola huko. huyu...
habari ya kupikwa hii. Ina maana kwa kumdhalilisha mtu utake kutoroka nchi. Na tena akijua kwamba alikua anamkemea mwenzake! haiingii akilini, labda kama kova na Pinda wamehusika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.