Baada ya watoto kuanguliwa Huwa watoto wanaanza kula planktons ( wadudu wadogo wa baharini) kwakutumia tentacles ( vinundu) vilivyopo kwenye mikono Yao 8 kukua pia wanajilinda kwa kubadili rangi na kumwaga wino ili kuwapoteza maadui ili wasiliwe
Samaki pia Wana namna ya kufanya mating( uchumba) Wana style tofauti kutokana na jamii ya samaki ila kwa pweza wao hawana wivu wa kimapenzi ndio maana nimeeleza kwamba jike Moja anaweza kutoka na madume zaidi ya 10 ila samaki wengine jike anachagua dume la kuzaa naye pia Kuna madume hupigana kwa...
Pia Kuna samaki Moja anaitwa salmon Huwa anaishi baharini ila anaenda kuzalia maji baridi ,hawa samaki hupatikana bahari ya pacific na baada ya kuzaliana wanakufa ntakuja na stori yake
Kazi ya moyo Moja ni kusukuma damu kwenda sehemu mbalimbali za mwili ila ile yote miwili husukuma damu kupitia...
Pia Kuna samaki Moja anaitwa salmon Huwa anaishi baharini ila anaenda kuzalia maji baridi ,hawa samaki hupatikana bahari ya pacific na baada ya kuzaliana wanakufa ntakuja na stori yake kamili
KWANINI VIJANA WA TANZANIA WENYE NDOTO ZA KUPATA FURSA ZA AJIRA,ELIMU,KUJITOLEA KATIKA NCHIZA ZA UMOJA WA MATAIFA( NCHI ZA NJE) HUISHIA KUTAPELIWA,KUPATA VYUO VYA UCHOCHORONI AU KUKOSA NAFASI KABISA?
Tanzania ina vijana wasomi Tena wengi sana kutokana na wimbi la kukosekana ajira wanajikuta...
Samaki pweza ni samaki anayeishi baharini
Pweza ana mioyo 3 (3 heart) Moyo moja husukuma damu kwenda sehemu mbalimbali za mwili.Mioyo 2 husukuma damu kupitia matamvua yake(gills)
Pweza ana damu rangi ya bluu kwasababu ana “copper-based protein”
Pweza ni miongoni mwa-samaki mwenye akili Zaidi...
Namna nzuri ya kuitumia mitandao ya kijamii kupambana na soko la ajira pia kufumania fursa mbalimbali kutokana na uhitaji wako.
Vijana waliohitimu vyuo vikuu wanalalamika hakuna ajira hii makala itasaidia vijana ambao bado wako vyuo na waliomaliza pia wakulima, wafanya biashara nk.
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.