Pagale ya vyumba vitatu, kimoja master, jiko, public toilet, dinning, sitting na store. Kiwanja ni 27*18 bei ni maelewano, Nyumba ipo Msomi! Boda 1000 kutoka Msumi center!
Kama upo interested nitafute 0782100086
Wadau naomba kufaham japo kwa uchache kuhusu uanzishwaji wa online tv ambayo labda kwa kuanzia itafanya kazi Dar es salaam tu! Nifaham kuhusu vibali vya TCRA, gharama za camera, mic na nyenzo nyingne!
Asanteni
Jamaa basi utakuwa mgeni kwenye Siasa, Ebu google huko Mbowe akipokea hundi kutoka kwa Sabodo kama hautomuona,unataka ushahidi gani hapo? Halafu labda kama hujui aliwapa na kiwanja akawaona wanazingua akakichukua mwenyewe. Ogopa Mungu na Teknolojia ndugu...
Sawa lkn Chadema pia mlishawahi kupewa fungu na Sabodo zilienda wapi? Na alisema anatoa kwa ajili ya ofisi, ndo tunaanza kuwapima mkipewa dola nyie mtaheshimu budget kweli kama ile kidogo mlishindwa? Mambo yenye TIJA yepi nyie ambayo mpo nayo serious? Kuomba kufanya mikutano ndo mambo serious?
Sijui nini kilitokea kwa Chadema nakumbuka kuna mwaka waliwahi kupewa ela za kujenga ofisi na Sabodo, sijui ziliishia wapi? Kama taasisi kuwa na ofisi ya kueleweka inajenga kauaminifu flan pamoja na ukweli kuwa mnafanya vizuri kwenye harakati lkn ofisi muhimu.
Na ni jambo zuri kujifunza kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.