Recent content by amoxyclav

  1. A

    Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

    Asante sn mkuu. Hii ya alarm nmeifanya sana. Unaweza enda muamsha unakuta ashakojoa. Au naweza mwamsha akakojoa chooni lkn akirudi kulala baada ya muda anakojoa tena. Mpk nmepeleka kwenye maombi jamani
  2. A

    Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

    Habari wakuu, Nina mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 12 sasa anaingia class 7. Anakojoa kitandani kila siku. Kwa mwezi anaweza asikojoe mara moja au mbili tu. Lakini siku zote hizo anakojoa sana. Katumia dawa za kienyeji, za kimasai pia lakini imeshindikana. Nikampeleka hospital kuna vidonge...
  3. A

    Katibu Mkuu Kiongozi, tafadhali fumua sheria ya Recategorization ni kandamizi.

    pole sn mnasihi mwenzangu. Mimi pia nilikuwa mwl. Nikaenda kusomea unasihi Tumaini Irnga. Niliporudi kazini hawakunielewa kabisa cha zaidi nkafutiwa na mshahara kbs. Ivi ninavyokwambia niliichukia kazi ya ualimu na mfumo mzima wa utumishi serikalini. Maana majibu walokuwa wananipa ni kwamba...
  4. A

    Tamko la UVCCM kuhusu Uchaguzi wa Zanzibar na kufutwa kwa Matokeo

    UVCCM ndio kabisaa hata siwaelewagi. Kazi zao kushabikia tuu hata km kitu hakina mantiki au tija kwa taifa. Wao wanaona ni sawat tuuu.. wananchi wanaonekana wanataka nn.. wakuu wa nchi wanatumia mabavu, UVCCM kutetea matumbo yao wanasapoti wazee wao.
  5. A

    Hofu ya Zanzibar na hatma ya Tanzania

    Tatizo wanajifanya Tanzania ni yao peke yao na familia zao. Tanzania ni ya watanzania wote. Ubinafsi umewajaa mpk kwa watoto wao. Wampe baba wa watu ushindi wake kavumilia saaana.
  6. A

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Kwa jinsi nilivyochoka na hii nchi. Sitaki hata kujua waziri mkuu nani wala mawaziri wengine. Kiujumla serikali hii naiona magumashi tuu.
  7. A

    GE2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

    I think it will be my last time to vote in this ccm country, not tanzanians country. Nazidi kuichukia ccm jmn
  8. A

    Mbeya - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    ndagha mubhombile bhandu bhwa kyala. nguhobhoka hapa amajimbo ghosa mpimbile bhanyaa... mweee ndagha mwee
  9. A

    Message from Juma Mwapachu

    It is purely true...
  10. A

    UKAWA na watanzania, hii haijakaa vema kuhusu msiba wa Emanueli Makaidi

    Jamani. Nlishasahu msiba wa Makaidi. De Fili kafunika kila kitu
  11. A

    Msafara wa Mama Regina Lowassa wasimamishwa akielekea Mbeya

    Ni kweli kbs. Hata kanisani huwa tunaambiwa ibada njema huanzia nyumbani.
  12. A

    Msafara wa Mama Regina Lowassa wasimamishwa akielekea Mbeya

    Huyu mama ananipa raha sana. Aninifundisha kitu km mtoto wa kike. Kila nkimuona nasikia kulia kwa furaha. Hata km mtu hamtaki Lowasa nahisi anaweza mpa kura kwa juhudi za huyu mama. Zidi kubarikiwa mama.
  13. A

    Kampeni za CCM kwenye vyombo vya usafiri wadoda, kwa ninayoshuhudia Lowassa ni Rais

    Af mwenye mume hana time na kampeni za mumewe kuingia ikulu. Yaan wala hastuki kuwa first lady
  14. A

    Anayeijua hospitali nzuri kwa matibabu jijini Mbeya anijuze haraka

    Aghakan ipo uhindini jirani na posta. Ukitokea iyunga km unakuja mjini upo kwa daladala njoo mpk RETCo au sigara ni jirani na hapo.
  15. A

    Anayeijua hospitali nzuri kwa matibabu jijini Mbeya anijuze haraka

    Nenda Aghakan hapo uhindini krb na posta mkuu
Back
Top Bottom