Recent content by AMOXYCILLIN

  1. A

    For JamiiForums Mobile users

    najaribu samahani. NANGA WA DEPO
  2. A

    ACSEE for private candidates

    nashkuru mkuu, ntaliafanyia kazi
  3. A

    ACSEE for private candidates

    mi kweli mkuu,,umenipa wazo zuri. I will
  4. A

    ACSEE for private candidates

    wanataka credit 3 yeye anazo 2 , kama anaweza labda arudie mtihani
  5. A

    ACSEE for private candidates

    Natarajia kufanya mtihani wa acsee 2016, kama mtahiniwa wa kujitegemea; je , naweza kusoma masomo matatu ambayo hayapo kwenye mpangilio wa tahasusi (combination subjects) bila kuathiri matokeo? Nataka kusoma geography, a/ mathematics na biology.
  6. A

    Niulize Chochote kuhusu DUCE

    Nisaidie tofauti kati ya bsc in education na bsc with education
  7. A

    Naweza fanya mtihani wa kidato cha sita kwa masomo ya Biology, Geography na Mathematics

    Mkuu siwezi kusoma shuleni coz tayari niko kazini ila ntakomaa tu na tuition za kitaa.
  8. A

    Naweza fanya mtihani wa kidato cha sita kwa masomo ya Biology, Geography na Mathematics

    vipi lakini mkuu,,naskia matokeo yanatokaga kwa combination,,sasa yakwangu yatakuaje kwa kombi isiyojulikana?
  9. A

    Naweza fanya mtihani wa kidato cha sita kwa masomo ya Biology, Geography na Mathematics

    mkuu kuhsu sifa lbda kama zimebadilika,, lakini nina div.iii.23 form iv 2003. Nina credit(c) nne za bios,english,kiswahil na bible knowledge mengine yote d
  10. A

    Naweza fanya mtihani wa kidato cha sita kwa masomo ya Biology, Geography na Mathematics

    Ndugu zangu naomba sana kwa aneyeelewa vizuri haya mambo anifahamishe. Nataka kufanya mtihani wa kidato cha sita. Nilimaliza form iv siku nyingi ila siku bahatika kuendelea. Je naweza kusoma masomo matatu hata kama hayapo katika mpangilio wa kombi? kwa mfano biolgy, geography, mathematics...
  11. A

    Naomba msaada jinsi ya kujiunga na Magereza au Uhamiaji

    Magereza ni miezi isiyopungua 6-8 kwa mafunzo ya awali. Chuo kipo mbeya. Wakitangaza nafasi ntakuku pm.
Back
Top Bottom