Recent content by Amoxicillin og

  1. A

    Wahitimu wa Kidato cha 6, tuliwaambia, mmefaulu sana fanyeni maamuzi sahihi

    Hapo ntapingana na ww kifupi na madogo sahv wanasoma sana na mazingira n mazur tofaut na zaman. Sasa hv miaka 3 tu mtoto anaanza chekechea miaka miwili akifka na anapikwa anaiva na walimu vipanga. Miaka 5 anaingia msingi huku wazaz wakiwa nyuma yake kumpa sapot kama tuition, mavaz, chakula, afya...
  2. A

    Hongereni uongozi wa SUA kwa kufuta kozi za fizikia

    Si ndio ushangae sasa. Tz kuna upungufu wa vyuo vikuu lakn jamaa anasema hata vlivyopn vifutw
Back
Top Bottom