Katika kipindi hiki cha uchaguzi tumeshuhudia nguvu kubwa ya CCM ikiyumba na kuifanya UKAWA kupiga hatua kubwa mbele.
Mambo haya tumeyashuhudia tangu pale mara baada ya Mh.Lowassa kujiunga na UKAWA na kupewa dhamana ya kugombea urais kupitia CHADEMA na kuungwa mkono na umoja wa vyama...
Mtanzania kuwa na imani kuwa kwa wakati huu hatutoibiwa kura kwani kuna mikakati kabambe imefanyika,cha muhimu ni mimi na wewe kuamua kuutoa mfumo tawala minguvu na usio.na haki na wa ukandamizaji na unyanyasaji.binafsi niliipenda saana ccm lkn kwa mifumo yao ya uongozi nmetokea kuichukia na...
Napenda kutumia nafasi hii kuwaweka sawa wananchi na wapenda mabadiliko juu ya swala la Lipumba ,Kitu kilichofanyika ni kuwa kajiuzulu uenyekiti ili agombee ubunge mimi ndivyo niwazavyo kwani kikatiba cuf mwenyekiti anagombea urais pekee na si ubunge ,hivyo tusisahau kuwa kikatiba UKAWA waziri...
Furaha na amani ya nchi yangu ,maendeleo yangu na wanangu na familia yangu ni juu ya kura yangu ambayo itaenda si kwa utawala ule ulioikandamiza matakwa na mahitaji ya nchi yangu.
Hakika huwezi kumulika tochi katika giza la waovu na wezi na ukamuona mtakatifu mmoja na ni ngumu pia kuweza...
Katika hali ya kushangaza na kustaajabisha kwa kila mtanzania na mwenye kupenda maendeleo ni jinsi ambavyo mambo yanaendelea ndani ya chama chetu tawala.Twakipenda chama chetu tawala na twampenda mh.Lowasa kutuongoza wananchi katika kipindi hiki.Hakika twaamini mh.Lowasa ndiye ataibuka kinara...
Katika hali ya kushangaza na kustaajabisha kwa kila mtanzania na mwenye kupenda maendeleo ni jinsi ambavyo mambo yanaendelea ndani ya chama chetu tawala.Twakipenda chama chetu tawala na twampenda mh.Lowasa kutuongoza wananchi katika kipindi hiki.Hakika twaamini mh.Lowasa ndiye ataibuka kinara...
tukio la uzinduzi lilikuwa likiendelea na ilikuwa hivi.Hakika ni siku ambayo ilikuwa yenye furaha na ya ushindi mahali hapa na hata kuwaonyesha wale wasiyo na imani.Atukuzwe Bwana kwa matendo yake na ukuu wake kwa kila matendo ambayo ameyafanya,AMEN
yani bwana kweli hakuna kitu kipya chini ya jua. Haya ni maneno ni kama vile nawasikia wale mafarisayo walivyokuwa wanalalamika yule mwanamke kahaba alivyompaka Yesu marhamu ya gharama miguuni. Kipindi kileee.. "Bora marhamu ingeuzwa, fedha wakapewa maskini" leooo....."mimi ningewaona wa maana...
hivi baba anaweza sita kupokea sifa kutoka kwa mwanae hata kama ni kwa ajili ya pipi? Nakumbuka utotoni mama alikuwa akinikumbusha kushukuru hata kwa vitu vidogo sana japo katika akili yangu ya utoto nilijua alikuwa na uwezo wa kunipa kikubwa ama kizuri zaidi; nilijua kuwa ntapata kizuri zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.