Recent content by Amon Chakushemeire

  1. A

    Ungependa kupunguza unene?

    Unene unazidi kuwa tishio kwa afya ya binadamu. Unene unaharibu umbo (shape) la mwili na pia ni kichocheo cha maradhi kama vile kisukari, shinikizo la juu la damu, matatizo ya uzazi, saratani nk. Utafiti unadai kuwa katika watu 10, watu 3 wana uzito uliopitiliza. Je, wewe ni miongoni mwa watu...
  2. A

    Kujiajiri ni uamuzi, mtaji unafuata

    Je, umekuwa mwoga wa kujiajiri? Je, wewe ni miongoni mwa watu wanaodhani kujiajiri sharti uwe na mtaji fedha tena mtaji mkubwa? Je, unajua mtaji mkubwa tayari unao? Mimi sikuhiaji mtaji fedha kuanza biashara, nilichohitaji ni uamzi na uthubutu kisha mtaji niliutafuta ukapatikana maana nia...
Back
Top Bottom