Recent content by Amomaker

  1. Amomaker

    Hivi kumbe unaweza kuwa na ndoto ya kufanya kazi sehemu tangu ukiwa mdogo na usifikie hata robo? Basi usikate tamaa!

    Absolutely mkuu, ila ndo hivo imesha tokea sina namna tena, kama Mungu atajalia labda, ila kweli mkuu BAHATI HAIJI MARA MBILI[emoji26]
  2. Amomaker

    Hivi kumbe unaweza kuwa na ndoto ya kufanya kazi sehemu tangu ukiwa mdogo na usifikie hata robo? Basi usikate tamaa!

    Hapana, natoa ushauri kwa wenzangu na wao wasikate tamaa kwenye kile unachokiamini
  3. Amomaker

    Msaada: Waliowahi kufanya written Interview Access Bank Microfinance position ya Recovery Loan Officer (RLO) naombeni muongozo

    Binafsi nadhani hakuna kiasi mtu akilipwa atalidhika. Ndugu, kama una passion na kazi kuliko kuwa jobless nenda kafanye kazi. People they work and they success in Life. Usikatishwe tamaa
  4. Amomaker

    Hivi kumbe unaweza kuwa na ndoto ya kufanya kazi sehemu tangu ukiwa mdogo na usifikie hata robo? Basi usikate tamaa!

    Ushauri mzuri, Asante sana, japo kujiajili napo ni mchakato unao hitaji capital, business strategy like location na Targeted Customer,vyote vyahitaji pesa na kwa hali yetu kwa sasa HATUNA. Tukipata TUTAJIAJILI. Pia Kazi Zipo Ukitafuta kwa Bidii ukikosa Full time, utapata internship au part time...
  5. Amomaker

    Hivi kumbe unaweza kuwa na ndoto ya kufanya kazi sehemu tangu ukiwa mdogo na usifikie hata robo? Basi usikate tamaa!

    Habari wana jamvi! Napenda kushare japo kwa ufupi story yangu naimani itatufunza na kupata Ushauri ambao hata mimi nitajifunza. Nikiwa nina miaka 6 baba yangu alikuwa mwajiliwa wa taasisi moja na yeye mara kamoja moja sana tulikuwa tunaenda wote BANK(NMB) kutoa pesa kidogo kilicho kuwepo kwa...
  6. Amomaker

    Tecno camon 11 mpya(haijafunguliwa) inauzwa bei poa kabisa

    Asee!! Tufanye biashara kwanza Mkono sio wangu ni wa aliye piga picha siku hiyo
  7. Amomaker

    Tecno camon 11 mpya(haijafunguliwa) inauzwa bei poa kabisa

    Nauza 300,000 hii ni camon 11 unboxed
  8. Amomaker

    Tecno camon 11 mpya(haijafunguliwa) inauzwa bei poa kabisa

    Dah nikiounguza zaidi ya 300k utakuwa unanilalia mno, kumbuka ni Mpya bado haija funguliwa
  9. Amomaker

    Tecno camon 11 mpya(haijafunguliwa) inauzwa bei poa kabisa

    Hapana! Ila sidhani kama mama yangu ni mmoja ya watu tulio wasiliana, ila nipo serious, Karibu kwa anaye hitaji imebakia moja tu
  10. Amomaker

    Tecno camon 11 mpya(haijafunguliwa) inauzwa bei poa kabisa

    Kwakuwa cm ni unboxed nimeweka picha moja ya google mtu aone upana na urefu wake. Ila kwa nje nimeweka tayari picha kwakuwa unataka niongeze haya hiyo hapo Tulio wasiliana wameelewa.
Back
Top Bottom