Wasomi wa dini mnijuze, unakuta wapentecoste na wachungaji wao kuitwa kupondea roman Catholic Kuwa wanaabudu sanamu.
Mara kusali rozali ni upagani marra anaetokea kama mama wa yesu Kuwa ni pepo malkia wa anga watu watoke huko lkn watu wakihamia huko ghafra baada ya muda wanakutana na utapeli...
Ukikosa kwenye mfumo wa tamisemi unakuwa hujatumia gharama kama kwenye hizo za psrs unatumia nauli kutoka bukoba had dodoma unafikia lodge alafu hata kwenye oral hufiki
Majobless mpo!? Naona Kila siku mnalia tamisemi zitatangazwa lini ajira , maana vijana wanasubiri ajira Hadi wanapata stress wengine ni walevi na yawezekana hata wengine wataingia kwenye dimbwi la dawa za kulevya...huku Leo waziri mkuu ametoa Rai Kwa tamisemi kuwaajira waliopona uraibu, sasa...
Siasa hizi jamani! Waliopona uraibu wa madawa ya kulevya waziri mkuu ametoa hoja tamisemi huko wapewe ajira ...vipi inawatazama vipi vijana ambao wanaelekea kutumia hayo madawa sababu ya kukosa muelekeo wa maisha...kumbe wanasuburi waharibikiwe alafu ndo waje watoe ajira Kwa wagonjwa
Tatizo wanakurupuka kusema na ahadi Kuwa watatoa ikiwa hawajajipanga Yan siasa siasa tu , haya mwaka mpya wa fedha unaanza lkn si ajabu ikafika mwakani bado wasitangaze kwel alieshiba hawezi kumuelewa mwenye njaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.