Recent content by Amisa majaliwa

  1. A

    Mjadala: Je, ni siku zipi ambazo mwanamke huweza kupata ujauzito katika mzunguko wake wa kila mwezi?

    Kilaza hujajibu ulichoulizwa. Kama hujui piga kimya unadhani kila mtu nikama Dada zko.
  2. A

    Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

    Asnte sana bora umenijibu kitaalamu asnte na Mungu akubariki
  3. A

    Bao la tatu linatunga mimba?

    Mie nilifnya tendo siku ya 14 sa 6 usiku alimwaga nje tukarudia asubuhi sa 12 akamwaga ndani je kuna uwezekano wa mimba kutunga?
  4. A

    Bao la tatu linatunga mimba?

    Mie nilifnya siku ya 14 bao LA kwanza tulimaliza sa 6 usiku alimwaga nje la pili tulifanya asubuhi sa 12 alimwaga ndani je kuna uwezekano wa mimba kutunga?
  5. A

    Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

    Kwa mfano nimefnya mapenzi siku ya 14 nikarudia tena siku ya 16 mimba ikatunga je hiyo mimba itakua imetunga siku ya 14 au ya 16
  6. A

    Zifahamu dalili zinazoashiria mwanamke ni mjamzito

    Inawezekana USS ikaonesha tareh au siku mimba iliyoingia
  7. A

    Mjadala: Je, ni siku zipi ambazo mwanamke huweza kupata ujauzito katika mzunguko wake wa kila mwezi?

    Naomba kuuliza kwa mfano nimeingia tarh 21 nikafanya tendo tareh 14 nikapumzika then nikafanya tena tarh 16 halafu nikanasa mimba hiyo mimba itakua ya tar 14 au ya 16 na mzunguko wangu niwa siku 28
Back
Top Bottom