Kwanza naomba na mim kuungwa kwenye ilo group la WhatsApp pili naomba kuuliza umesema kununua share lazima nipitie kwa brokers vip kama kampun ime issue IPO siwez kwenda kununua direct bila kupitia kwa broker?
Namba yangu ya watsap 0657664465.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa ndo wale wale leo kaacha kazi ndo analiongelea ila kipindi chote icho alikua anashirikiana nao kutochangia pato la serikali leo katoka kwenye system na kutimiza malengo yake ndo anakuja kuongea aonekane mtu safi kumbe mwizi tu na yeye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.