Fact.....lkn kwa upande wa pili kinacholeta ukakasi ni kwamba kama application inafanyika online wanaweza VP kuwapima hawa watu maana hapo cha kwanza hakuna interview, so kinachofanya kazi ni vyeti kwahyo kama kigezo pekee kilichobaki ni cheti GPA itawekwaje pembeni??? Au wanakata mabogi tu kama...
Hapo umezungumza kwetu sisi hii hali itadhoofisha sana mchakato wa msuli vyuoni maana hakuna haja ya kupandisha GPA kwasababu hata gentlemen ina soko siku izi
Fikiria hat ww mwenyewe kama mdau wa elimu umepewa jukumu la kuajiri watu kwa kigezo cha vyeti ukapata mwenye 2.9 na wa 3.9 bila interview utamchukua yupi kati ya hao wawili???
Nashangaa sana nna wadogo zangu wawili wamesomea ualimu lakini cha ajabu kwenye zile application za miezi kadhaa ilopita mmoja kachaguliwa kua mwalimu pwani na akiwa na GPA ya 2.9 AF mwenye 3.8 kaachwa nabaki siamini kama kweli wanafanya upembuzi na uchambuzi sahili wa waalim hawa wanao jinasibu...
Udom ya saa ivi so kama tuliyosoma zaman kuna jamaa angu anachukua masters pale anadai mambo yamechange sana....achana na historia nenda shule bwana mdogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.