Kwahiyo vyama vya siasa vina kazi gani kama tunaweza kuweka mitandao ambayo haiwezi kutambulika kisheria? Nchi gani utaruhusu watu tu wajiunde kivyao vyao bila kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu?
Mpaka sasa inaonekana hakuna chakuwafanya na hii ndiyo dhiki kuu wakifanikiwa basi tutakuwa kama kuku tunachaguliwa yupi mnomno tumle Kwa wiki hii...But there is God in heaven who is still sitting in the throne huwa ana namna yake hivi Kwa sehemu usiyotarajia mambo yanaheuka na kuwa vice versus
It is never too late...His blood will cry vengeance...Tunamshukuru Kwa kupitia damu yake kama sadaka na maisha yake kama funzo kwetu sote ametimiza purpose yake ya creation na kama Imani yake is not in vain he is now celebrating what he did huko aliko, Hana majuto...Swali ni kwetu sisi je...
Pamoja na sifa zote hizo JKN ndiye muaasisi wa mfumo huu mbaya wa kulinda waovu. Enzi zake alikuwa anahamisha mtu from here to there badala ya kumwadhibu. Akajiwekea ulinzi wa kimfumo na ndiyo uliozaa hii state capture.
Tofauti yake ni kuwa alikuwa na dhamira njema and so kwakua aliona waovu...
Adui mbaya anakuwa eliminated "do not suffer the witch to live" Kwa waislam ndiyo Jihad nadhani...Hata Mungu anaruhusu kama mkristo utajua Soul alinyang'anywa ufalme kwakushindwa kuwa mtii kwenye righteousness na Moja ya kosa ni kushindwa kuondoa wafilist wote kwakuwa uwa na kuwa teketeza lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.