Recent content by Ame

  1. A

    JamiiForums Tanzania Malema: CCM, na vyama vya ukombozi vinakufa kifo cha asili

    Sisi tutakilinda chama chetu Kwa wivu mkubwa
  2. A

    JamiiForums Tanzania Katambi alipoka majukumu ya baraza la usalama ya kutangaza hali ya hatari

    Sijui alikuwa anawaza Nini...Kamharibia hata Mama, kipindi ambacho ni very vulnerable yeye anachochea Kuni, pengine bado yupo upinzani ndiyo sababu anafanya haya
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kabla ya sasa hivi tulishwahi na Waziri wa Fedha Mzanzibari kwenye muungano?

    Acha udini, Kuna waislam kibao wanaongelea Tanganyika ambayo haipo
  4. A

    JamiiForums Tanzania Kabla ya sasa hivi tulishwahi na Waziri wa Fedha Mzanzibari kwenye muungano?

    Sada Mkuya hakuwa Mzanzibar?
  5. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kuna changamoto mifumo ya Serikali kutosomana kikamilifu

    Unafahamu kwanini ilikuwa vile? Maana yake wao wooote wapo chini ya Kingdom Ile, hizo bendera za Kisiasa ni za huko huko kwao wakija kwenye Dola ya mfalme Ukifanya hivyo unapunguza heshima ya ule ufalme
  6. A

    JamiiForums Tanzania Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Atakuwa kama wao, yet he is a self respecting individual...Amefika hapo Kwa juhudi na siyo uchawa
  7. A

    JamiiForums Tanzania Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Watu wenye integrity they never compromise in life...Mac you are a civilized person
  8. A

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz: Mtandao ni kitu cha kawaida kwenye uchaguzi

    Kwahiyo vyama vya siasa vina kazi gani kama tunaweza kuweka mitandao ambayo haiwezi kutambulika kisheria? Nchi gani utaruhusu watu tu wajiunde kivyao vyao bila kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu?
  9. A

    JamiiForums Tanzania I wonder if you actually think they will hesitate to do it ? Tundu Lissu atanyongwa !

    Mpaka sasa inaonekana hakuna chakuwafanya na hii ndiyo dhiki kuu wakifanikiwa basi tutakuwa kama kuku tunachaguliwa yupi mnomno tumle Kwa wiki hii...But there is God in heaven who is still sitting in the throne huwa ana namna yake hivi Kwa sehemu usiyotarajia mambo yanaheuka na kuwa vice versus
  10. A

    JamiiForums Tanzania Nalilia Taifa langu nazililia idara za Usalama wa Taifa, hakuna anayeona kesho ya Tanzania

    Tarehe zote zimepigwa dash🤣🤣🤣 hakuna Cha jambo kui wala dogo
  11. A

    JamiiForums Tanzania Audio: Magufuli akiviagiza Vyombo vya ulinzi kumchukulia hatua aliyelipwa mabilion ya pesa kuhusu sare za polisi

    Ndiyo Makosa makubwa yalivyofanywa na JKN and JPM
  12. A

    JamiiForums Tanzania Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    MFUMO
  13. A

    JamiiForums Tanzania Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Aliwapa samaki lakini hakuwafundisha kuvua
  14. A

    JamiiForums Tanzania Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Tusaidie kwenye Hilo Ili kum challenge JPM, utakuwa umetukomboa wengi ambao hatujui tuanzie wapi na tuishie wapi
  15. A

    JamiiForums Tanzania Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    It is never too late...His blood will cry vengeance...Tunamshukuru Kwa kupitia damu yake kama sadaka na maisha yake kama funzo kwetu sote ametimiza purpose yake ya creation na kama Imani yake is not in vain he is now celebrating what he did huko aliko, Hana majuto...Swali ni kwetu sisi je...
Back
Top Bottom