Sijui alikuwa anawaza Nini...Kamharibia hata Mama, kipindi ambacho ni very vulnerable yeye anachochea Kuni, pengine bado yupo upinzani ndiyo sababu anafanya haya
Unafahamu kwanini ilikuwa vile? Maana yake wao wooote wapo chini ya Kingdom Ile, hizo bendera za Kisiasa ni za huko huko kwao wakija kwenye Dola ya mfalme Ukifanya hivyo unapunguza heshima ya ule ufalme
Kwahiyo vyama vya siasa vina kazi gani kama tunaweza kuweka mitandao ambayo haiwezi kutambulika kisheria? Nchi gani utaruhusu watu tu wajiunde kivyao vyao bila kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu?
Mpaka sasa inaonekana hakuna chakuwafanya na hii ndiyo dhiki kuu wakifanikiwa basi tutakuwa kama kuku tunachaguliwa yupi mnomno tumle Kwa wiki hii...But there is God in heaven who is still sitting in the throne huwa ana namna yake hivi Kwa sehemu usiyotarajia mambo yanaheuka na kuwa vice versus
It is never too late...His blood will cry vengeance...Tunamshukuru Kwa kupitia damu yake kama sadaka na maisha yake kama funzo kwetu sote ametimiza purpose yake ya creation na kama Imani yake is not in vain he is now celebrating what he did huko aliko, Hana majuto...Swali ni kwetu sisi je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.