Recent content by Ame

  1. A

    Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

    Yes umri wa ukomo ni 66 Kwa lazima...Pengine wewe ndiyo uji update...Ukisoma post huoni hapo facts? Tatizo unachukua upande you do not open your mind ..Mie Kwa hili naona anahoja....Lakini Prof. Janabi si Kila kitu chake nitakikataa isipokuwa kwenye hii nutrition linked to non cominivable...
  2. A

    Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

    70 years kisha bado ni mtumishi wa umma? Well mie nabyomwona uso wake haupo sawa na siyo kwaajili ya uzeeni, labda naona viba! Na kama ni diet yake basi mwili utakuwa pengine unekosa virutubisho vyakutosha hasa nyakazi hizi za umri wake, na yeye awe makini pia
  3. A

    Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

    Mbona kama una ego fulani, umejuaje kama hajasoma? By the way unajuaje kama huyu ni nutritionist ambaye ni mtaalamu zaidi kuliko medical Dr? Amesema kitu ambacho na Mimi nimesikia wataalamu wengi wakilalamikia...
  4. A

    Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

    Lakini sura ya huyo Dr. Inaonyesha kabisa he is not normal ana tatizo gani mie siyo Daktari. Kama sura yake Haina mng'ao wa kibinadamu basi sidhani kama Mimi nitashawishika kupokea ushauri wake
  5. A

    IMF yatoa orodha ya nchi 15 zenye uchumi mkubwa Afrika. Tanzania yashika namba 9 ikiwa na uchumi wa Dola Bilioni 80

    Kuna mashirika makubwa mangapi na viwanda vingapi Kenya? Ila wananchi wa kawaida hawana Chao...Nchi ya kibepati ile
  6. A

    Tetesi: Kumbe Nchimbi aligoma kuambatana kwenye ziara na Makonda?

    Pamoja na sifa zote awe na heshima Kwa wenzake, Kuna mambo anatakiwa ayafanye Kwa faragha na IA Kwa staha lakini akiwa firm. Tatizo kubwa la huyo Mh. Mkuu wa Mkoa yeye anapenda kuheshimiwa lakini hapendi kuheshimu wenzake, anapenda kusikilizwa lakini hapendi kusikiliza wenzake. Yale mahojiano...
  7. A

    Yanayoendelea ndani ya uongozi wa CCM na serikali yanatafakarisha

    Poleni sana....It's done and forever, usiyempanda kaja!
  8. A

    Yanayoendelea ndani ya uongozi wa CCM na serikali yanatafakarisha

    Mimi nimeona picha ya tofauti na hii yako...Usijeshangaa utakachokiona aise! Sijui nikae upande upi lakini hao unaowasema hawawezi nimeona Kwa macho ya ndani wameshavuka mstari na tayari wameshaingia kwenye kumi na nane kosa lolote ni penalty inapigwa...Mungu wa Mbinguni Mimi Nasikiliza kwako...
  9. A

    Wafanyakazi wote nchi nzima tuungane na kufanya yafuatayo kuhusu vita ya kikokotoo

    Vipi kama wabunge nao kama waliingia kwenye huu mpango wakipewa kidogo kidogo au wao wanaakili sana za kutumia kuliko wastaafu wengine? Acheni Roho mbaya, wafanyakazi wa cadre ya chini Ile lumpsum ndiyo inaziba mashimo baada ya kustaafu...Kisha Ile pension ya mwezi ongezeko lake ni kiduchu sana...
  10. A

    Dark days 17/03/20...

    Rufiji si umeona kilichotokea?
  11. A

    Nchimbi: Kiongozi wa kweli habagui anaowangoza. Huwezi kuwa na vikosi vya upelelezi muda wote unatafuta wenzako wanasema nini

    Hakika Katibu wangu...Kwanza kiongozi anayegawanya watu Hana kujiamini na ana wasiwasi kwakua anajua anapwaya...Kiongozi anayejiamini na anayefanya Kwa weledi hawezi kuwa Kila mara anawaza watu wanasema Nini kwanini na kuweka wambea wakumpelekea maneno maneno yakuokoteza
Back
Top Bottom