Recent content by Ame

  1. A

    Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Atakuwa kama wao, yet he is a self respecting individual...Amefika hapo Kwa juhudi na siyo uchawa
  2. A

    Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Watu wenye integrity they never compromise in life...Mac you are a civilized person
  3. A

    Rostam Aziz: Mtandao ni kitu cha kawaida kwenye uchaguzi

    Kwahiyo vyama vya siasa vina kazi gani kama tunaweza kuweka mitandao ambayo haiwezi kutambulika kisheria? Nchi gani utaruhusu watu tu wajiunde kivyao vyao bila kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu?
  4. A

    I wonder if you actually think they will hesitate to do it ? Tundu Lissu atanyongwa !

    Mpaka sasa inaonekana hakuna chakuwafanya na hii ndiyo dhiki kuu wakifanikiwa basi tutakuwa kama kuku tunachaguliwa yupi mnomno tumle Kwa wiki hii...But there is God in heaven who is still sitting in the throne huwa ana namna yake hivi Kwa sehemu usiyotarajia mambo yanaheuka na kuwa vice versus
  5. A

    Nalilia Taifa langu nazililia idara za Usalama wa Taifa, hakuna anayeona kesho ya Tanzania

    Tarehe zote zimepigwa dash🤣🤣🤣 hakuna Cha jambo kui wala dogo
  6. A

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    MFUMO
  7. A

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Aliwapa samaki lakini hakuwafundisha kuvua
  8. A

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Tusaidie kwenye Hilo Ili kum challenge JPM, utakuwa umetukomboa wengi ambao hatujui tuanzie wapi na tuishie wapi
  9. A

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    It is never too late...His blood will cry vengeance...Tunamshukuru Kwa kupitia damu yake kama sadaka na maisha yake kama funzo kwetu sote ametimiza purpose yake ya creation na kama Imani yake is not in vain he is now celebrating what he did huko aliko, Hana majuto...Swali ni kwetu sisi je...
  10. A

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Pamoja na sifa zote hizo JKN ndiye muaasisi wa mfumo huu mbaya wa kulinda waovu. Enzi zake alikuwa anahamisha mtu from here to there badala ya kumwadhibu. Akajiwekea ulinzi wa kimfumo na ndiyo uliozaa hii state capture. Tofauti yake ni kuwa alikuwa na dhamira njema and so kwakua aliona waovu...
  11. A

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    In my perspective the opposite is true!
  12. A

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Tufarijiane Kwa neno hili!🤣
  13. A

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Adui mbaya anakuwa eliminated "do not suffer the witch to live" Kwa waislam ndiyo Jihad nadhani...Hata Mungu anaruhusu kama mkristo utajua Soul alinyang'anywa ufalme kwakushindwa kuwa mtii kwenye righteousness na Moja ya kosa ni kushindwa kuondoa wafilist wote kwakuwa uwa na kuwa teketeza lakini...
  14. A

    GE2025 Kwa namna Kibaigwa ilivyofurika mkutano wa kampeni, tumtarajie kaka kuitisha press saa tatu usiku

    Kinachonisikitisha Mimi, utakuta mtoa mada hata pesa ya kulipa ada hana lakini anashadadia hizi drama
Back
Top Bottom