Yes umri wa ukomo ni 66 Kwa lazima...Pengine wewe ndiyo uji update...Ukisoma post huoni hapo facts? Tatizo unachukua upande you do not open your mind ..Mie Kwa hili naona anahoja....Lakini Prof. Janabi si Kila kitu chake nitakikataa isipokuwa kwenye hii nutrition linked to non cominivable...
70 years kisha bado ni mtumishi wa umma? Well mie nabyomwona uso wake haupo sawa na siyo kwaajili ya uzeeni, labda naona viba! Na kama ni diet yake basi mwili utakuwa pengine unekosa virutubisho vyakutosha hasa nyakazi hizi za umri wake, na yeye awe makini pia
Mbona kama una ego fulani, umejuaje kama hajasoma? By the way unajuaje kama huyu ni nutritionist ambaye ni mtaalamu zaidi kuliko medical Dr?
Amesema kitu ambacho na Mimi nimesikia wataalamu wengi wakilalamikia...
Lakini sura ya huyo Dr. Inaonyesha kabisa he is not normal ana tatizo gani mie siyo Daktari. Kama sura yake Haina mng'ao wa kibinadamu basi sidhani kama Mimi nitashawishika kupokea ushauri wake
Pamoja na sifa zote awe na heshima Kwa wenzake, Kuna mambo anatakiwa ayafanye Kwa faragha na IA Kwa staha lakini akiwa firm. Tatizo kubwa la huyo Mh. Mkuu wa Mkoa yeye anapenda kuheshimiwa lakini hapendi kuheshimu wenzake, anapenda kusikilizwa lakini hapendi kusikiliza wenzake.
Yale mahojiano...
Mimi nimeona picha ya tofauti na hii yako...Usijeshangaa utakachokiona aise!
Sijui nikae upande upi lakini hao unaowasema hawawezi nimeona Kwa macho ya ndani wameshavuka mstari na tayari wameshaingia kwenye kumi na nane kosa lolote ni penalty inapigwa...Mungu wa Mbinguni Mimi Nasikiliza kwako...
Vipi kama wabunge nao kama waliingia kwenye huu mpango wakipewa kidogo kidogo au wao wanaakili sana za kutumia kuliko wastaafu wengine?
Acheni Roho mbaya, wafanyakazi wa cadre ya chini Ile lumpsum ndiyo inaziba mashimo baada ya kustaafu...Kisha Ile pension ya mwezi ongezeko lake ni kiduchu sana...
Hakika Katibu wangu...Kwanza kiongozi anayegawanya watu Hana kujiamini na ana wasiwasi kwakua anajua anapwaya...Kiongozi anayejiamini na anayefanya Kwa weledi hawezi kuwa Kila mara anawaza watu wanasema Nini kwanini na kuweka wambea wakumpelekea maneno maneno yakuokoteza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.