Recent content by Ambros Kiwale

  1. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Vitu viwili vinanichanganya katika ukristo na uislam juu ya urafiki wa Yesu na Martha na Maria na vifo vya watoto wa Mtume Mohamed nisaidieni wanangu

    Aliye comment hapo Ni Sexless Said mjumbe. Ref. maneno manne ya mwisho kwa cooment yako
  2. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    Shukrani sana. Hata Mimi nimeshangaa hii Ni JF ninayoijua au la! Professionalism imepungua Sana, mipasho mingi km X au Instagram. Hata hivyo kupitia wachache ambao walinielewa nimepata options kadhaa. Ubarikiwe
  3. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    Sawa Hakimu! Tuishi humo
  4. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    Si mbaya kuliko kupoteza muda mwingi kwa faida ndogo yaani kwa mwaka pamoja na makato 9M ukitoa makato Ni huzuni. Kuna mlumbi mmoja Katia idea fulani ngoja nicheki nae
  5. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    Asante Sana. Natamani tuwe connected mutually. Umedadavua vema Sana, pamoja na kejeli za baadhi ya wajumbe nikiri nimepata kitu.
  6. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    Noted with thanks
  7. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    Zipo, muda unaotumika kumtumikia gavoo na unaobaki kwa ajili yako binafsi compared na outcome kwenye hela Kuna haja ya kuona possible way kufikia hatua nyingine Ila ushauri nimeupokea
  8. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    Endelea kuwa na wasiwasi.
  9. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    Nakubaliana nawe, tunaenda kubumbwa bumbwa Hadi baadae muda unapotea application Ni below expectations. Tunazidiwa na tuliowaacha mtaani
  10. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    Nimepokea wazo hili. Unaweza Nipa mwanga zaidi mathalani nimesoma Geography na Kiingereza masters ipi inaweza kuwa na market ambayo kwa msingi nilionao naweza pambana nayo
  11. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    Asante kwa taarifa, sikujua kuwa Ni Kama NECTA. Nitafanya kazi ushauri huu.
  12. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    Najaribu kutaka kujinasua tu kutoka nilipo na ili iwe hivyo GPA matters, unless wazo jipya jengefu linapokelewa
  13. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    Acha matusi na usijihesabie haki. Overall Mimi sio mpumbavu au sitafuti pesa, sijaja kuomba pesa Bali ushauri
  14. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    Ndio maana nikaja kujiuliza kupata wazo jipya. Najua wazo vigezo Ni tight ndio najaribu kuwaza Kama naweza boresha mambo
  15. Ambros Kiwale

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma tena Degree ili niipandishe GPA?

    ETU Ila kwa Sasa kilikula rungu hawatoi Tena shahada
Back
Top Bottom