wewe acha uhuni, ukichukua 980 analodaiwa tukiamua kulipa na ile sh 10 aliyobaki nayo atakuwa anadaiwa tsh 970 kwa kuwa kapunguza deni, ukijumlisha deni na ile tsh 10 utakuwa umekosea coz 1000-30=970, so usijumlishe 980+10=wrng, ila chukua 980-10=970 ambalo ndo deni litakalobaki, prov...