Tanesco uwajibikaji wilaya ya Chunya ni hafifu.. Umeme umekua ni changamoto hasa kwa biashara hii ya madini.. Umeme umekua zaidi ya kero tunaingia gharama kubwa kutumia mafuta na mnaelewa hali ya bei ya mafuta ilivo.. Kwa kweli mnatia hasara na mnakwaza tunakaa siku nzima umeme hakuna na ukirudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.