Chama cha Skauti wilaya ya mbogwe kimewapatia mafunzo vijana na kushiriki mashindano ya Skauti Taifa wakiwakilisha mkoa wa Geita nakufanikiwa kupata ushindi wa kikombe katika nafasi ya tatu kitaifa katika safu ya Rovers scout,Hivyo wanageita tuzidi kuongeza juhudi kwa mafanikio zaidi,for more...
Ndugu kamishna Wa Skauti wilaya ya Geita DC unakaribishwa katika kambi la Skauti wilaya ya Mbogwe Desemba 08/2017 litakalo fanyika shule ya sekondari Iponya -Mbogwe Geita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.