Mshana Jr mkuu nina omba unisaidie kuelewa hili mimi nina abusia dhehebu la kisabato ila kuna jambo linanichanganya sana juu ya hili kanisan letu..ni hivi katika biblia kuna mafungu yanasema shetani ndie nyota ya asubuh itoayo nuru sasa hili kanisa langu wana redio station inatwa Morning star...
[emoji16][emoji16][emoji16] mapema kabisa kamanda ebu toa lock hio mkuu iyo sehemu nakumbuka wakati nipo arusha kuna kisehemu kama hapo aisee watu wanaanza supu mixer na bia asubuh asubuh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.