Ukisema kuhusu tarrif utamuonea ile ni ishu ya wizara ya fedha. Wale ndio wanaotunga sera za charges zoote. Sawa na sim tax ukimuunganisha kwenye lawama ni kumuonea. Kwenye suala la mawasiliano tangia wakabidhiwe wizara wamepunguza tatizo kwa zaid ya asilimia 50 kwani maeneo mengi ya vijijn...
nimetazama interview hii kiukweli anajielewa na ni mtu mwenye mtazamo chanya na taifa hili. Maana wangekuwa waropokaji flan hapa pangechafuka. Nadhani kama vijana tunahitaji kumpa sapot kwa kumshaur na kumkosoa katika hali ya kujenga na sio kubomoa kwa maslahi ya tanzania mpya tuitakayo
Kwa hyo kutaka kukopa kwao ni kuwa kibaraka wao. aafu suala la kufanya kubwa kwa watanzania sio mpaka agawe hela kwa kila mtu. Angalia ufanisi hata ndani ya wizara yake
Hyo iman kwamba haijalishi we n kijana au mzee n uongo wa wazi ccm imeharibiwa na kizaz cha vijana wa zaman ambao walipoingia hawajataka kutoka licha mawazo yao kuzeeka na ndio maana tunahitaji vijana kujenga upya nchi na chama
"IKULU NI MAHALA PATAKATIFU" sasa kama mahala patakatifu panaingiliwa kwa rushwa basi hiyo ni hatari.
"the means justify the end" and not "the end justify the means" sentence hizi zinazomanisha 1)njia/namna ndio inayoamua mwisho na 2) mwisho ndio unaomua njia/namna tendo lilivyofanyika...
naunga mkono hoja aisee. kuna wanajamvi wana mawazo butu sana. tunaacha kupeana support kama vijana, tunaanza kuleta hoja mdudundiko eti "mtOto wa Fulani.." mara hivi mara vile kwan kuna mtu aliyejizaa? VIJANA TUSIWE KAMA WANAWAKE WANAODAI "WAKIWAWEZESHWA WANAWEZA". Tunahitaji kujiwezesha sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.