acha kupotosha umma...
Dodoso bado kutoka...
Kile unachokiona kwa OLAMS ni form za ku appeal mkopo ambapo wamepew miez 3 sawa na siku 90 bt wale wa dodoso ni mwez mmoja tu...
huu mchezo hauhitaji hasira...Shituka kijana..
Msaada jamani,
Kwa wale wanafunzi waliosomea nje ya nchi especially Uganda tunaomba msaada jinsi ya ku apply TCU kwa anayefaham coz mwaka huu inakuwa ngumu kufanya application na hawajatoa sababu yoyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.