Mambo ni magumu kama unavyosema lakini kamwe hautakiwi kukata taama na kurudi nyuma katika utafutaji wa kazi kwani huwezi jua kesho nayo ni siku so inabidi kukubali kuendelea kuvumilia na kujifunza kukubaliana na hali halisi ilivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.