Ukitaka kujua akili finyu za watanzania ni kwenye post kama hii... watu wanaongea wasichojua kiukweli hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kuwa CEO wa kampuni kama Vodacom twende mbele turudi nyuma.. tunaowaona bora wapo selikalini na tunajua wanachofanya
Sent from my SM-G532F using JamiiForums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.