Navyoona hakuna kilicho na mwanzo kikakosa mwisho nadhani hii ni ishara njema ya janja ya mafisadi na vijifisadi kuhitimika.Kwani hao wasiompenda Kikwete na utawala wake ndio hao mafisadi walioguswa na juhudi na kazi za Utawala huu,ambao awamu zote tatu walikuwa wanakula kikubwa kwa kuiba.sasa...
duh wanasepa lakabu wanayoyoma!!!!!! dah wako juu,kiukweli wako matiti ile mbayaaaa huwezi kudhani kama walianzia mikocheni kwenye vumbi na joto kali mpaka kwenye baridi kali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.