Moja kati ya faida nizionazo za haya mabasi ya mwendokasi ni kutoingiliana na bugdha za barabara za kawaida katika maeneo ambayo barabara hizi zimepita. lakini cha kushangaza ni pale ambapo mabasi haya yanatakiwa kusimama kwa nusu saa kusubiri msafara upite ilihali hazichangii barabara na magari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.