ndg uko sawa kabisa nakusapoti kwa hilo hawa ndg zetu hawana mipango madhubuti ya kujisaidia ili wafike mbali matokeo yake wanaishia kuanguka na kupoteza ubora wa kisiasa
Acheni kupotosha watu kwa sera mnazopost za upuuzi tu ivi mnanzania kuongoza nchi ni kazi rahisi au kazi ni kukaa na kukosoa vitu vya kijinga tu Magufuli kaweza na kasubutu kufanya yake kama huwezi kupost vitu vya msingi tafuta kazi ufanye sio kudanganya watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.