Hivi kwanini watu lawama nyingi wanaitupia serikali?
Hivi hatuwezi kuitumia japo hii fursa ya amani kufanya mambo makubwa?
Ukiangalia kongo, Sudan na baadhi ya nchi za Afrika na dunia kiujumla wanatamni sana. Nchi zao japo kidogo zimantain tuu amani. Waweze kufanya mambo mengine.
Ila hii...
Nimetumia jina MAMA SAMIA, Sina maana kubwa ya kumtumia kwenye maudhui yangu lahasha , Lakini kama kiwakilishi kuonesha kiongozi wa juu kabisa katika ngazi ya uongozi, Sawasawa na ningetumia jina
Joe Baiden Rais wa Marekani, Xi Jinping Rais wa China, Vladimir Putin Rais wa Urusi sawa sawa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.