Mimi naona serikali ipo sahihi kushinikisha watu walipe deni heslb. Kwanza itasaidia vijana wengi wanaomaliza chuo kutumia zaidi ubunifu wanaopata kijiajiri ili wapate hela ya kulipa deni. Inasikitisha sana kuona tanzania ina wimbi la vijana wanaotaka kuajiriwa baada ya kumaliza masomo badala ya...
Toa hoja za kisomi na busara. Unaposema mtu hana kigezo elezea ni jinsi gani hana kigezo. Na ni nani kasema wameondolewa bungeni kwa sababu ya vigezo hawana?
Hongereni sana wabunge wetu, nimependa sana msimamo wenu. Ni wazi kwamba wabunge wanachaguliwa kupitia vyama vya siasa lakini kudai haki haiangalii chama. Wanafunzi waliofukuzwa ni raia ambao ndugu zao ni chadema, ccm, cuf, act na kadhalika. Mungu awabariki muafaka wa wadogo wetu upatikane mapema.
Jamaa anaweza na nina imani nae.... Wewe kama huwezi wenzio wanaweza... Hata aliyegundua ndege aliposema anaweza watu walimdhihaki lakini alifanya kweli na baadae wakamwamini.... Siku nyiingine toa hoja ya maaana na sio upuuzi kama huu. Kwenye elimu bure mpaka chuo mlibwabwaja hawezi na mwisho...
Wadau,
Naomba mnieleweshe kuhusu utaratibu wa kuvunja Baraza la Mawaziri baraza linabidi kuvunjwa siku ngapi kabla ya uchaguzi?
Vilevile vipi kuhusu uchaguzi uliopita, Baraza lilivunjwa siku ngapi kabla ya uchaguzi? Na kama Baraza la mawaziri bado halijavunjwa, ninavyoelewa najua mawaziri...
Mbona naona watoto wengi mno kuliko watu wazima kulikoni? Watampigia kura hao.Hebu angalia kwenye picha kuanzia hapo waliposimama askari polisi ni vitoto vitupu.
Huyo askari mwenye kamera yuko kazini.Ukawa msiwe mnawazuia askari wenye kamera kufanya kazi zao .
Wacha dawa ipenye. Unatikisa nini?
Hata wakisema hivyo sishangai. Japo nahisi si sahihi. Wanajua watanzania wengi hawajui kuhoji. Swali la kujiuliza kama yote hayo yamefanyika. Kwa nini watu wanazidi kudidimia? Kwa nini hela ya tanzania ilishuka thamani kupita kiasi? Kwa nini suala la ajira kwa vijana linazidi kuwa kizungumkuti?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.