Magufuli ninge muona wa maana sana kama angekuwa anazuia matusi kwenye kampeni zake maana hao hao anao waona wakitukana ndiyo wana muharibia kampeni zake!! Ikuru siyo hodi ya wagonjwa kwani we mzima?? Upuuzi huu sasa! Ajuae simu zako za kuishi Ni mungu 2!! Wangapi walikuwepo na sasa hawapo!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.