Kuna bei ya aina mbili mpya mm ya 64 GB ni 800K na 256 ni 850K huku used ambayo ipo clean kabisa ni 700k Kila ukitaka zenye kipengere zinaanzia 600K karibu nipo kariakoo msimbazi
Habari za muda huu naitaji ushauti wenu wa laptop nzuri ya kununua maana nilikuwa natumia hp notebook core i7 cpu 2.6. Ingawa kwasasa nimeiuza.
Nahitaji laptop nyingine ya bajeti hiyo na zifikilia sana macbook hasa kuanziamacbook air ya 2015 maana mm napenda sana laptop slim kwa upande wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.