Recent content by Allydasmartboy001

  1. A

    Naomba kufahamishwa bei ya Iphone X kwa sasa

    Kwasasa tuna xs max tu ambazo kwa used kwa 64M ni 1M na 256 ni 1.1M huku new brand 1.2M kwa 1.3M
  2. A

    Naomba kufahamishwa bei ya Iphone X kwa sasa

    Acha uongo acha uongo acha uongoo
  3. A

    Naomba kufahamishwa bei ya Iphone X kwa sasa

    Hapana kwasasa hatuna branch arushaa
  4. A

    Naomba kufahamishwa bei ya Iphone X kwa sasa

    Kuna bei ya aina mbili mpya mm ya 64 GB ni 800K na 256 ni 850K huku used ambayo ipo clean kabisa ni 700k Kila ukitaka zenye kipengere zinaanzia 600K karibu nipo kariakoo msimbazi
  5. A

    iPhone11 pro vs pixel4xl

    Ngoja kwanza unataka kitu gani au ww unapenda nn kwenye simu?? Kitu pekee google pixel 4xl alichomzidi iphone 11 pro ni camera basi
  6. A

    Msaada: Kununua Laptop nje ya nchi

    Tafuta watu mkuu ila hata m nauza laptop nzuri kwa bei ndogo tena nimezidi hadi za njee karibu
  7. A

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Habari kuna mtu anasema hii ni sawa na gen ya 9 ??? Core i5 kuna ukweli hapa Chief-Mkwawa
  8. A

    Msaada wa Laptop ya bajeti kati ya 850k hadi 1.5m

    Asante mkuu nitaufanyia kazi mkuu wangu
  9. A

    Msaada wa Laptop ya bajeti kati ya 850k hadi 1.5m

    Habari za muda huu naitaji ushauti wenu wa laptop nzuri ya kununua maana nilikuwa natumia hp notebook core i7 cpu 2.6. Ingawa kwasasa nimeiuza. Nahitaji laptop nyingine ya bajeti hiyo na zifikilia sana macbook hasa kuanziamacbook air ya 2015 maana mm napenda sana laptop slim kwa upande wa...
  10. A

    iphone is disabled connect to itune

    Karibu pm kwa msaada zaidi
Back
Top Bottom