Kwa hiyo bei ndugu yangu kwa kibongl bongo kupata labla iwe imepigwa sehemu au gen iwe ya 2-3 hapo kati na hatujui kazi yako ila kama ni kazi nzito itakusumbua sanaa
Hayo sasa yako ww kama hamna ww chukua used hamna mtu anayekupangia na maamuzi yako na hakuna asijua pixel mpya kwa sasa ni 9 series kwa hiyo kama una hela chukua mpya
Pixel 6 pro used now ni 630,000 mpya full boxed ni 670,000
7 pro ya 128 ni 890,000
Zote zikiwa na warranty ya miezi 6 na kwa mpya warranty yake mwaka mzima
Nunua google pixel kwa camera tuu
Ila kaka unataka camera na performance nenda na samsung pamoja na iPhone
Kuhusu bei
Simu nzuri kwa pixel ni kuanzia 6a
Bei zake ni 450K hadi 480K kwa pixel nzuri
Ila hata hizi pixel 3, na 3a nazo ni nzuri bei yake zinaanzia 250K
Kwa muongozo zaidi unaweza...
Kuna bei ya aina mbili mpya mm ya 64 GB ni 800K na 256 ni 850K huku used ambayo ipo clean kabisa ni 700k Kila ukitaka zenye kipengere zinaanzia 600K karibu nipo kariakoo msimbazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.